Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahahDah nawale anafika utasikia nahisi njaa mara hatuli mara kuku akiwa mwingi hakuna foil hapa du jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahDah nawale anafika utasikia nahisi njaa mara hatuli mara kuku akiwa mwingi hakuna foil hapa du jaman
Mdomo ni wako endelea kuropoka.Hizi ni kauli za Kidangaji
Kama ni muuzaji bora ueleweke mapema
Lazima wakutag mkuu ww na nyuzi za utelezi ni kama mwashambwa na CCMHamna cha alarm watu wa humu utaona tuuu wananitag
Biashara. Ja ukilipiwa basi ukiliwa usilete kukataa maana umejiweka hivo. Yaani hata sehemu ya nauli 1000 au 10000 na ukute una kazi njema tu. Why kama umeelewa somo mwambie aje mpaka ulipo ili msipo elewana hujala chake.Kwani anaye anza kumwitaji mwenzie nani? Yaani mtu anakwambia njoo Kisha nijigharamikie? Kwanini usikae nani zako Kama unaona gharama? Wanaume watakucheka siku nyingine usiongee hivyo! Waoongea hivyo ni watoto wakiume
Hata humu huwa wanakasirikaHuwa unamuitaga nani mkuu anakukasirikia?
Sawa.Hata humu huwa wanakasirika
Ndo ile nimetokea kukupenda nae anasema ametokea kukuomba 100kSiku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
duh halaf ikawaje?Back in my days, wkt huo mgeni mgen na mabinti, akanipangia birthday yake, nimnunulie nini na twende wapi, akandaa mkeka wa gharama akanitumia. Kodi, nimfungulie biashara huku aki demand niende kwao
Aisee just imagine mtu hakufahamu, mnakutana mara chache but demand kama zote
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada uko Sahihi
Mtu hana pesa kazi kujitutumua tu kusikokiwa na maana🙌😂 kumbe wewe ni maskini na ujinga unao??
et single mother 😂
So kwako unaona tusi mwenyewe
Mimi ningelikua singlemom ningelikua very proud kama mama yako tu
Kijana acha makasiriko tafuta pesa
Dah nawale anafika utasikia nahisi njaa mara hatuli mara kuku akiwa mwingi hakuna foil hapa du jaman
Hao huwa inategemea mnako watoa, sasa kama mtu umekula nyumbani ukashiba unakulaje tena, mwanamke na mwanaume wanao kutana wakiwa wanajielewa hawanaga hayo mambo, sasa umekutana na mtu anajiuza kwanini asihitaji hayo yote?Dah nawale anafika utasikia nahisi njaa mara hatuli mara kuku akiwa mwingi hakuna foil hapa du jaman
Wanawake pia wana akili timamu, akiitwa na mtoto wa kiume lazima agharimikie , lakini akiitwa na mwanaume mbona hakunaga shida unajua hata asipotuma nauli atafanya ya maana ya zaidi ya nauliBiashara. Ja ukilipiwa basi ukiliwa usilete kukataa maana umejiweka hivo. Yaani hata sehemu ya nauli 1000 au 10000 na ukute una kazi njema tu. Why kama umeelewa somo mwambie aje mpaka ulipo ili msipo elewana hujala chake.
cc: Madada wote wa mjini, Bongo fleva, Bongo movie, na machangu dizaini ya Diva The bowse lady asiye na pesa, Kajala, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na wengineo wapuuzi.Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
BiasharaWanawake pia wana akili timamu, akiitwa na mtoto wa kiume lazima agharimikie , lakini akiitwa na mwanaume mbona hakunaga shida unajua hata asipotuma nauli atafanya ya maana ya zaidi ya nauli