Asiyefunzwa na mamaye anafunzwa na ruge mutahaba.
Im tired and weak
Ruge na Clouds yao hawana mkono mchafu katika kuanguka Saida Carol... if you remember, enzi zile kulikuwa na Mzee mmoja wa Kihaya pande za Kinondoni akiitwa Mzee Muta wa FM... huyu mzee ndo kamtumia sana Saida Carol! Nakumbuka show yake ya kwanza baada ya kuingia mjini, ilikuwa pale Uwanja wa Taifa... ni history jinsi kulivyokuwa na nyomi! Yaani show ile peke yake ilitosha kabisa kubadilisha maisha ya SaidaAsiyefunzwa na mamaye anafunzwa na ruge mutahaba.
So sad kwa kweli... babu noma sana yule... halafu sijamsikia siku hizi... unajua dhuluma zingine hata Mungu unamfanya awe anamwaga machozi... dhuluma ni dhuluma, lakini ukimdhulumu mtu kama Chibu, si ajabu hata Sir God akapotezea na kuishia kusema "nyoko zake, na yeye kazidi... utadhani totoz za ukweli zote nimempelekea yeye aaaaaargh... lidhulumuni tu..!" Lakini Sauda Carol... ah, wallah Mungu hawezi kukusamehe!anapiga kwenye vilabu vya pombe muta ni nyyoookkkoooo
Mie nilidhani wahaya Kwa wahaya hawatendani!
Hyo aliyemdhulumu
Mwisho wake atashangaa, dhuluma mbaya
Jamani jamani !Maskini Saida Karoli. .
Huyu naye ana umaskini wa hatari nasikia
Hata voucher ya simu hana...Sasa kuna msanii aliyeuza wa kike kama huyu?huyu sasa ndo walimdhurumu kila kitu..jamaa yule muhaya wa silent in club..alikuwa anampa
show elfu hamsini wakati yeye katengeneza
Milioni mia tano. ..show za said mpaka uganda zilikuwaa zinajaza ma milioni...
Tatizo huyu dada yetu alikuwa hata kuandika jina lake hajui so huyu baba akatumia hiy kama silaha ya kumuibia