Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hivi wewe unajitambua Kweli?Huyo mtanzania ingekua kauawa kwenye nchi ya Kiarabu,sasa hivi kwenye hii thd kungekua na mafuriko ya comments na matusi juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe unajitambua Kweli?Huyo mtanzania ingekua kauawa kwenye nchi ya Kiarabu,sasa hivi kwenye hii thd kungekua na mafuriko ya comments na matusi juu.
Ndio maana DP wameamua kutaka kurudi tenaAfrica wakoloni warudi
Mbona unaeneza chuki mkuu unatatizo gani na waarabu?Huyo mtanzania ingekua kauawa kwenye nchi ya Kiarabu,sasa hivi kwenye hii thd kungekua na mafuriko ya comments na matusi juu.
Tena tungeambiwa waarabu na waislamu makatili sana!Huyo mtanzania ingekua kauawa kwenye nchi ya Kiarabu,sasa hivi kwenye hii thd kungekua na mafuriko ya comments na matusi juu.
hah ume ni quote vibaya,sijasema wavaa kobazi,nimesema wakoloni,.Ndio maana DP wameamua kutaka kurudi tena
Nipe utapata jibu kiazi wewe.Hivi wewe unajitambua Kweli?
Chuki unaijua wewe au unaropoka tu hapa? wewe ni mgeni hapa JF? wabongo wanauawa South Africa ila hatuoni povu hapa lakutukana mpaka dini ya hao wasouth,ila ikitokea mbongo akawa na tatizo kwenye nchi za lkiarabu au India hua mnatukana mpaka dini ya wahusika,double standard.Mbona unaeneza chuki mkuu unatatizo gani na waarabu?
matajiri nao wao na adabu,.Reginald mengi kabla ya kufa tweet yake ya mwisho aliandika "matajiri wanaishi kwa amani kwa hisani ya masikini"Ila maskini nao waache makasiriko bwana
Hivi uko timamu kweli wewe?Ila maskini nao waache makasiriko bwana
Siku zote lisemwalo lipo.POLISI ZAMBIA wamethibitisha kifo cha Mfanyabiashara maarufu wa Nkeyema, Zambia, Sikaonga Ernest almaarufu Yakaipa na rafiki yake David Mwakyoma Mtanzania aliyechomwa moto na kundi la maskini wenye hasira kali.
Wawili hao wameuawa katika Wilaya ya Mumbwa na kundi la maskini wenye hasira kali wakati wa ghasia baada ya taarifa kuenea kuwa mtu mwingine aliyejulikana kama Mwiya Kashweka ameuawa na kuondolewa sehemu za siri ambapo kina Mwakyoma walidhaniwa ndo walifanya unyama huo.
Majengo mbalimbali ya umma yameharibiwa na wananchi waliofanya ghasia miongoni mwao ofisi ya Mifugo kuteketezwa na kuwa majivu, madirisha ya ofisi za Polisi, Uhamiaji na Usajili wa Taifa yote yamevunjwa.
Magari na lodge ya marehemu Yakaipa yaliharibiwa kwa kuchomwa moto. Hii ilikua tarehe 13/09/2023.
Binafsi nimesikitishwa sana na hizi taarifa na kulaani maskini wote wanaodhani matajiri wote wamepata utajiri wao kwa kutumia nguvu za giza. Wazambi ni wapole ila wana wivu mkubwa kwa kudhani wanaopambana na kufanikiwa hudhulumu haki zao. Ndugu Mwakyoma na mwenzie wameuwawa kwa kudhaniwa kuwa wanahusika na ushirikina uliosababisha kifo cha Mwiya. Na kwa siku za karibuni kumekuwa na kamata kamata ya watanzania waliopo huko.
Ila pia kwa upande mwingine kuna watanzania wenzetu wanaotuchafua sana kwa majirani kwa kuendekeza ushirikina. Mwaka jana kuna watanzania waliokamatwa Zambia kwa kwenda kufanya kazi ya kutoa uchawi kule Zambia kama wanavyofanya Kigoma na Sumbawanga. Ukiwa mtanzania kwa nchi za jirani unachukuliwa kama mbobevu kwenye ushirikina.
Acha upumbavu wa kuwaza udini muda wote.Huyo mtanzania ingekua kauawa kwenye nchi ya Kiarabu,sasa hivi kwenye hii thd kungekua na mafuriko ya comments na matusi juu.
Wana wivu hatari.Zambia mbona pako fresh sana, hao jamaa walikuwa na mambo yao tu sio mazuri...tuwaulize watanzania walioko uko walipouawa
Wewe hamnazo,hiyo comment yangu uliyoiquote hapo kuna sehemu imetaja dini yeyote? Wahi Milembe ukapate tiba kabla hujaharibikiwa zaidi.Acha upumbavu wa kuwaza udini muda wote.
Jamaa ni tajiri ana mali nyingi sehemu mbalimbali za Zambia. Hapo kwenye ajira ndo wengi watapoteza mwelekeo. Inasemwa kuwa wakati wa uhai wake alikuwa kaajiri watu zaidi ya 500.Da uharibifu mkubwa wa Mali!
Hapo familia yake itaishi vipi? Wafsnyakazi wake ajira ndio kwishnei!
Hatari sana