Maskini wenye hasira kali Zambia wamuua kwa kumchoma moto Mtanzania

Mbona unaeneza chuki mkuu unatatizo gani na waarabu?
Chuki unaijua wewe au unaropoka tu hapa? wewe ni mgeni hapa JF? wabongo wanauawa South Africa ila hatuoni povu hapa lakutukana mpaka dini ya hao wasouth,ila ikitokea mbongo akawa na tatizo kwenye nchi za lkiarabu au India hua mnatukana mpaka dini ya wahusika,double standard.
 
Siku zote lisemwalo lipo.
 
Da uharibifu mkubwa wa Mali!
Hapo familia yake itaishi vipi? Wafsnyakazi wake ajira ndio kwishnei!
Hatari sana
 
Da uharibifu mkubwa wa Mali!
Hapo familia yake itaishi vipi? Wafsnyakazi wake ajira ndio kwishnei!
Hatari sana
Jamaa ni tajiri ana mali nyingi sehemu mbalimbali za Zambia. Hapo kwenye ajira ndo wengi watapoteza mwelekeo. Inasemwa kuwa wakati wa uhai wake alikuwa kaajiri watu zaidi ya 500.
 
Apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Marehemu huenda kavuna alichopanda aidha hadharani au sirini
Mungu anapopitisha hukumu hutumia sababu yoyote ile ili uhukumiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…