JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Huyu mwamba, namuombea akiweka Mambo yake sawa, aje na nyumbani awekeze, maana kitaa pamekuwa pagumu kama jiwe!!Jamaa ni tajiri ana mali nyingi sehemu mbalimbali za Zambia. Hapo kwenye ajira ndo wengi watapoteza mwelekeo. Inasemwa kuwa wakati wa uhai wake alikuwa kaajiri watu zaidi ya 500.
Marehemu atakujaje nyumbani?Huyu mwamba, namuombea akiweka Mambo yake sawa, aje na nyumbani awekeze, maana kitaa pamekuwa pagumu kama jiwe!!
Ndugu acha kumtaja Mungu kwenye mambo ya kishetani. Mungu ndo alisema maskini wenye hasira wakaharibu mali za watu?Apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Marehemu huenda kavuna alichopanda aidha hadharani au sirini
Mungu anapopitisha hukumu hutumia sababu yoyote ile ili uhukumiwe
Kitu Cha kusikitisha anaweka kicheko.[emoji17]Mbona huwa unaonekana mwenye akili?
Bangee hizo huyo nafikiri hajausoma huu uzi toka mwanzo, kadandia train kwa mbele. 😂 😂 😂 😂Marehemu atakujaje nyumbani?
Hiyo sio justification ya kuwafanya wafanye walichofanyaKwanini wamshutumu yeye tu? Hapo kuna ukweli
Kunywa maji mkuuChuki unaijua wewe au unaropoka tu hapa? wewe ni mgeni hapa JF? wabongo wanauawa South Africa ila hatuoni povu hapa lakutukana mpaka dini ya hao wasouth,ila ikitokea mbongo akawa na tatizo kwenye nchi za lkiarabu au India hua mnatukana mpaka dini ya wahusika,double standard.
Ukiwa mtanzania kwa nchi za jirani unachukuliwa kama mbobevu kwenye ushirikina.POLISI ZAMBIA wamethibitisha kifo cha Mfanyabiashara maarufu wa Nkeyema, Zambia, Sikaonga Ernest almaarufu Yakaipa na rafiki yake David Mwakyoma Mtanzania aliyechomwa moto na kundi la maskini wenye hasira kali.
Wawili hao wameuawa katika Wilaya ya Mumbwa na kundi la maskini wenye hasira kali wakati wa ghasia baada ya taarifa kuenea kuwa mtu mwingine aliyejulikana kama Mwiya Kashweka ameuawa na kuondolewa sehemu za siri ambapo kina Mwakyoma walidhaniwa ndo walifanya unyama huo.
Majengo mbalimbali ya umma yameharibiwa na wananchi waliofanya ghasia miongoni mwao ofisi ya Mifugo kuteketezwa na kuwa majivu, madirisha ya ofisi za Polisi, Uhamiaji na Usajili wa Taifa yote yamevunjwa.
Magari na lodge ya marehemu Yakaipa yaliharibiwa kwa kuchomwa moto. Hii ilikua tarehe 13/09/2023.
Binafsi nimesikitishwa sana na hizi taarifa na kulaani maskini wote wanaodhani matajiri wote wamepata utajiri wao kwa kutumia nguvu za giza. Wazambi ni wapole ila wana wivu mkubwa kwa kudhani wanaopambana na kufanikiwa hudhulumu haki zao. Ndugu Mwakyoma na mwenzie wameuwawa kwa kudhaniwa kuwa wanahusika na ushirikina uliosababisha kifo cha Mwiya. Na kwa siku za karibuni kumekuwa na kamata kamata ya watanzania waliopo huko.
Ila pia kwa upande mwingine kuna watanzania wenzetu wanaotuchafua sana kwa majirani kwa kuendekeza ushirikina. Mwaka jana kuna watanzania waliokamatwa Zambia kwa kwenda kufanya kazi ya kutoa uchawi kule Zambia kama wanavyofanya Kigoma na Sumbawanga. Ukiwa mtanzania kwa nchi za jirani unachukuliwa kama mbobevu kwenye ushirikina.
View attachment 2761245View attachment 2761246View attachment 2761248View attachment 2761249View attachment 2761250View attachment 2761252View attachment 2761253
Ukiwa mtanzania kwa nchi za jirani unachukuliwa kama mbobevu kwenye ushirikina.Mambo ya hovyo haya na ni akili za kimasikini hizi.
ila wangefanyaje?Hiyo sio justification ya kuwafanya wafanye walichofanya
Ndio maana usimwamini maskini wala demu maskini sana.Mambo ya hovyo haya na ni akili za kimasikini hizi.
Kuna Namna..Zambia mbona pako fresh sana, hao jamaa walikuwa na mambo yao tu sio mazuri...tuwaulize watanzania walioko uko walipouawa
Mdogo wa marehemu kahukumiwa miaka 650 sio 50. Wananchi hawakukuta jeneza. Walikuta ottoman couch wakadhani jeneza. Kimsingi maskini wenye hasira hawakuwa na uhakika wa 100%Matajiri wengi wa Zambia hasa wenye Asili ya Nakonde, ama kutoka miji ya jirani na Nakonde, ama wanaokuja kununua Mzigo Tanzania, Wametajirika zaidi baada kuwa na urafiki na Watanzania!
Watanzania wanawapeleka kwa Waganga hapa Tanzania ili wawe Matajiri....!
Hata kama huamini Uchawi hiyo haindoi Ukweli wa uwepo wake!
Watu hapa wanawaona Wazambia wasio na akili kwa walichokifanya ila wamevumilia sana wakitafuta Mchawi ni nani, mpaka kuja kufanya walichofanya walikua na Ushahidi wa Mazingira!
Zaidi ya watu 100 wameuwawa vifo vikifuatana vikifanana, kunyofolewa viungo vya Binadamu.....! Miezi michache kupita Kaka wa huyo Mzambia Marehemu, anahukumiwa miaka 50 jela kwa kukiri kwake kuhusika na kifo cha Mtu mmoja ambaye nae alinyofolewa viungo vya mwili, majuzi kuna Marehemu amekutwa hana Viungo, wananchi kwa kupepeleza wakapenyezewa habari juu ya uhusika wa huyo Rasta ambaye ni Rafiki wa Tajiri wa Kizambia, ikasemwa kila akionekana eneo flani baada ya siku chake, mwili wa mtu aliyeuwawa unapatikana na yeye kutoonekana tena, wamemfata Raia wenye hasira, kumweka mtu kati anasema yeye anatumwa tu, anatumwa na nani...!?
Akamtaja huyo Tajiri YAKAIPA kwamba ndo huwa anampa kazi, Hasira za Wanachi zikawaka, safari kwenda kwa Tajiri ikaanza, Tajiri kuona Raia wana hasira akataka kuruka Ukuta ikashindikana, akatoa Bastola atishe Raia haikusaidia, yakaanza Maswali, wakambeba yeye na Marasta mpaka ndani ya Nyumbani, kufika ndani wakaanza kufanya Ukaguzi, kuna Chumba kimoja wakakuta Jeneza kufungua Jeneza kuna Vitu vya ajabu.....!
Kilichotokea ndo kilichosikika.
We uliiamini hiyo tweets?kaa nao Karibu ndio utajua Wana hisani au vipimatajiri nao wao na adabu,.Reginald mengi kabla ya kufa tweet yake ya mwisho aliandika "matajiri wanaishi kwa amani kwa hisani ya masikini"
Kabla ya kuanza utasema waarabu wakijua itakuwaje.Nipe utapata jibu kiazi wewe.