Maskini wenye hasira kali Zambia wamuua kwa kumchoma moto Mtanzania

Huyo mwenye dread ndiyo mtanzania
Aise kauwawa kifo cha kikatili sana

Ova
 
Kuna kitu nilijifunza kwa hao matajili wa Zambia na Tunduma Hadi mbeya
 
Serikali inapozembea kuwapatia wananchi wake elimu bora haya ndiyo sehemu ya madhara ya kukosa elimu.

Msiwaite maskini, hao ni angry mob.

Elimu
Elimu
Elimu
 
Ghasia hizi waafrika tungeziweka kwa mafisadi wetu nahisi mpaka sasa tungekuwa mbali kiuchumi.
Mafisadi ni werevu kuliko maskini. Mafisadi hawafisadi mpaka wawachonganishe maskini. Maskini wakishaanza kugombana ndipo mafisadi wanafanya yao.
Hukuona akina msukuma wanapelekwa Dubai kabla ya DP world kufumka?
Au kubuniwa Royal Trip kabla hatupigwa cha juu kwenye malipo ya ndege na sasa mitumba ya train za sgr?
 
Majibu ya Wizara ya Mambo ya Nje yapo?
 
Serikali inapozembea kuwapatia wananchi wake elimu bora haya ndiyo sehemu ya madhara ya kukosa elimu.

Msiwaite maskini, hao ni angry mob.

Elimu
Elimu
Elimu
Wewe pia ni maskini mwenye ujuaji. Uwe unaandika tu kwa kiswahili
 
Wewe pia ni maskini mwenye ujuaji. Uwe unaandika tu kwa kiswahili
Usijali. Ulichoelewa chukua, kilichokutoa kapa achana nacho

Angry mob ni kundi la watu wenye hasira.

Najua ulidhani namaanisha njaa.
 
Angalau wewe umetoa ufafanuzi
Zamani nilikua nikipeleka Biashara Zambia, Lusaka, Ndola, Kitwe, Luanshya, na Boda ya Congo huko, so najua sana kuhusu Matajiri wakubwa wa Zambia kutajirika kwa Uchawi kutokea Tanzania, Waganga wao wapo Iringa na Mbeya, na kuna Mama mmoja alikua Morogoro ni Marehemu sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…