Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
atafungwaje mtu akati mkataba wagafla gafla mbele ya media ila kiukweli huy mwanamke kakosea sana sijui kama anajua gharama mpaka msanii akatoka ayo yote clouds wamemfanyia hakuna chabule angekubali kulipa fadhiraHilo nalo neno
Aliwahi kumpeleka mahakamani nani? Kwa issue kama hizi unaweza kumpeleka mahakamani featured act lakini sio yule ambae awepo au asiwepo bado hana effect yoyote kwenye show!!! Endapo Wiz Kid asingetokea pale, raia wasingeelewa but who cared kwamba Ruby hakutokea?!!Wao wamekiuka vingapi? Luge anavopenda ligi tutaona km atampeleka mahakamani
Umenena..wanawapa vichwa ndio maana wanaendelea kufanya upumbavu kwa watoto wa maskini wao wanendelea tu kufungulia mahawara zao madukaTwende kwa hoja sio kashfa,maana ukiambiwa hilo jambo uthibitishe utaweza?Suala la msanii kutetea haki yake ni suala lake yeye binafsi hata kama isingekuwa clouds,kwa hilo nampongeza,na lazima tujue jamani risk takers ndio wanaomove kimaisha,kuna wakat hukutana na changamoto ila mwisho wa siku hufanikiwa,me namuona bint yupo sahihi,unakuaje muoga while Tanzania kuna redio zaidi ya 80?na zinaendelea kupata leseni.Kuamini kuwa clouds ndo kila kitu ni ishara ya kwamba hatuna maono.....Msanii atoe wimbo mzuri na atashine tu
Aliwahi kumpeleka mahakamani nani? Kwa issue kama hizi unaweza kumpeleka mahakamani lead artist lakini sio yule ambae awepo au asiwepo bado hana effect yoyote kwenye show!!! Endapo Wiz Kid asingetokea pale, raia wasingeelewa but who cared kwamba Ruby hakutokea?!!
Mi najiuliza tu ivi leo sugu anahitajika e fm kipindi cha joto la asubuhi je atakubali kufanya nao mahojiano maana hando alimsagia sana kipindi yupo clouds huo uchaguzi wa 2010Hawa wanaomsema huyu binti nawashangaa sana na kama ni wanaume wenzangu basi wavae bikini tu,yaani mtoto wa watu anapambana kupinga dhuluma kupitia kipaji chake watu wanamdhihaki na kumwambia ataporomoka,kweli!!!!!!nna uhakika hawa wanaosema haya ni wasomi zaidi ya huyo bint ila bado hawajiamini,yaan mtu anahisi hawez kuendelea kimuziki bila CLOUDS,haya leo TCRA wakiifungia?ina maana wasanii wote watapotea.
Mafanikio huja kwa kujaribu,vijana wenzetu wabadilike,ukibana pua kuwa "Bila Clouds HIFIKI MBALI" kweli hutafika....Sugu yule pale amepoooondwa 2010 na bado akashinda ubunge,walimghas sanaaa,mwaka jana ndo kaongoza kwa kura za UBUNGE.
ALITHUBUTU
Tuwe wa kweli sio Laki jamani..Ni laki nane.hata kama hana ndo ulipwe laki moja? si bora akawe muhudumu mango garden?
sugu hakusanda ila ruge alionaanachafuliwa sana kwa mixtape za matusi akaamua kuomba suluhu kwaviongoz wa chama na serikali kwa chama walikaa mbowe na sugu na viongozi wengne baadae serikali ikakaaa ikiwakilishwa na emmanuel nchimb kama wazir wa mambo ya ndani ndio wakapatanishwa maana watangazaji mashoga wa mawingu walisemwa live na wote wanaotumia ARV wamawingu walitajwa kulikokuendelea kuchafulia bora mkurugenzi akaombe suluhu tumkuu kusanda tunakokuzungumzia ni pale unaporudi clouds kuwapigia magoti ili waku promote tena kwenye kazi zako...sugu amepatana na clouds kipindi ambapo yupo njema kimkwanja kuliko hata kipindi ambacho alikuwa anagombana nao...ukiangalia maisha ya sugu kwa kipindi ambacho anapatana na clouds c maisha ya kutegemea mziki or unataka kuniambia sugu kapatana na clouds ili kupata promotion ya siasa???kitu ambacho sidhani na hakiwezi kuwa kweli
mkuu hiv kweli hizi tuhuma za ushoga pale clouds watangazaj gani hao watajwesugu hakusanda ila ruge alionaanachafuliwa sana kwa mixtape za matusi akaamua kuomba suluhu kwaviongoz wa chama na serikali kwa chama walikaa mbowe na sugu na viongozi wengne baadae serikali ikakaaa ikiwakilishwa na emmanuel nchimb kama wazir wa mambo ya ndani ndio wakapatanishwa maana watangazaji mashoga wa mawingu walisemwa live na wote wanaotumia ARV wamawingu walitajwa kulikokuendelea kuchafulia bora mkurugenzi akaombe suluhu tu
swala sio kutetea maslai yake ilibidi arudishe fadhira ametolewa bure vijana wangap wapo mtaani wanavipaji lakini hawana nafasi ya kuonekana pesa aliyokataa rub ni kubwa sana ni laki 8 sijajua kwa mkoa mmoja au yoteHawa wanaomsema huyu binti nawashangaa sana na kama ni wanaume wenzangu basi wavae bikini tu,yaani mtoto wa watu anapambana kupinga dhuluma kupitia kipaji chake watu wanamdhihaki na kumwambia ataporomoka,kweli!!!!!!nna uhakika hawa wanaosema haya ni wasomi zaidi ya huyo bint ila bado hawajiamini,yaan mtu anahisi hawez kuendelea kimuziki bila CLOUDS,haya leo TCRA wakiifungia?ina maana wasanii wote watapotea.
Mafanikio huja kwa kujaribu,vijana wenzetu wabadilike,ukibana pua kuwa "Bila Clouds HIFIKI MBALI" kweli hutafika....Sugu yule pale amepoooondwa 2010 na bado akashinda ubunge,walimghas sanaaa,mwaka jana ndo kaongoza kwa kura za UBUNGE.
ALITHUBUTU
Mkiendelea kuwapiga vita kama hivi wataacha huu ujinga wao,halafu utakuta wengine ni watu wazima kabisa,halafu wanaandika namna hiyo.Mimi wananiboaga Sana
Nilipoisoma hii hoja yako nikalazimika kusoma mara mbili mbili hoja yangu kuangalia ni wapi niliposema wasanii wote wametoka kwa ajili ya Clouds... SIKUPAONA! Post uliyoni-quote ni hii hapa:Unataka kusema wasanii wote wametoka kisa clouds?ukinambia issue ya THT na akina Kibajaj sawa,ila kwa radio station sio kweli,nakupa mfano mmoja,akina nature walitamba Dar na nje ya Dar na wakat huo huko nje ya Dar hakukua na clouds TV wala Radio wala mtandao wa intanet wa kusikiliza na kuangalia..............Huyo Ruby unamaanisha hatafanya vizur kama ngoma zake zisipopigwa clouds?hapo ndo kuna kosa kwenye fikra zetu,
Kibiashara huenda huyu bint akatoka zaid baada ya kukataa kufanya kazi na hao jamaa.Inaonesha wewe kama ungekua mwanamuziki basi klaudz kama wangekuwa wanacheza nyimbo zako FIEST ungeomba upande bure,yaani UNAOMBA WEWE
Hayo uliyosema umeyatoa wapi?! Wapi nimezungumza suala la Clouds kupiga au kutopiga nyimbo?!Aliwahi kumpeleka mahakamani nani? Kwa issue kama hizi unaweza kumpeleka mahakamani featured artist lakini sio yule ambae awepo au asiwepo bado hana effect yoyote kwenye show!!! Endapo Wiz Kid asingetokea pale, raia wasingeelewa but who cared kwamba Ruby hakutokea?!!
Me naona aibu kabisa sijui nielezee vipiHawa wanaomsema huyu binti nawashangaa sana na kama ni wanaume wenzangu basi wavae bikini tu,yaani mtoto wa watu anapambana kupinga dhuluma kupitia kipaji chake watu wanamdhihaki na kumwambia ataporomoka,kweli!!!!!!nna uhakika hawa wanaosema haya ni wasomi zaidi ya huyo bint ila bado hawajiamini,yaan mtu anahisi hawez kuendelea kimuziki bila CLOUDS,haya leo TCRA wakiifungia?ina maana wasanii wote watapotea.
Mafanikio huja kwa kujaribu,vijana wenzetu wabadilike,ukibana pua kuwa "Bila Clouds HIFIKI MBALI" kweli hutafika....Sugu yule pale amepoooondwa 2010 na bado akashinda ubunge,walimghas sanaaa,mwaka jana ndo kaongoza kwa kura za UBUNGE.
ALITHUBUTU
Yale makaratasi tu ya show off za tv , na akashitakiwe basiWewe na wenzako ingawaje mnajifanya ndo mnajua lakini mnaonesha ni jinsi gani msivyofahamu masuala ya kibiashara! Huwezi kujitia kujua halafu unatetea mtu aliyeingia mkataba halafu anaacha kutekeleza mkataba wake! Kwani wakati anaingia mkataba alikuwa amelewa? Na kama alikuwa amelewa, ni tatizo la nani hilo?!
Wewe na wenzako ingawaje mnajifanya ndo mnajua lakini mnaonesha ni jinsi gani msivyofahamu masuala ya kibiashara! Huwezi kujitia kujua halafu unatetea mtu aliyeingia mkataba halafu anaacha kutekeleza mkataba wake! Kwani wakati anaingia mkataba alikuwa amelewa? Na kama alikuwa amelewa, ni tatizo la nani hilo?!Me naona aibu kabisa sijui nielezee vipi
Ilikuwaje akakukbali kusaini hayo makaratasi ya show off?! Ule ulikuwa ni mkataba wa kuwa tayari kufanya show Mwanza ili audience ifahamu ni nani na nani angepanda stejini! Na hapa chini akaonesha excitement yake ya kuwa tayari kwenda Mwanza!!Yale makaratasi tu ya show off za tv , na akashitakiwe basi
Hurnda alishang'atwa na nyoka so yuko conscious na ambacho kingeenda kutokea, labda ndio zao wale mapebari sio wa kuwatetea hata kidogo ruge anaroho mbaya sanaIlikuwaje akakukbali kusaini hayo makaratasi ya show off?! Ule ulikuwa ni mkataba wa kuwa tayari kufanya show Mwanza ili audience ifahamu ni nani na nani angepanda stejini! Na hapa chini akaonesha excitement yake ya kuwa tayari kwenda Mwanza!!
View attachment 387849
Na ukimsia alichoongea jana, utagundua hoja yake sio maslahi madogo bali ni hofu ya kulipwa! Sasa ulitaka aanze kulipwa kabla hata hiyo show hajafanya?! Yaani unataka kuniambia wengine wooooooote walioenda Mwanza walilipwa lakini angedhulumiwa Ruby peke yake?!
There you are! Tatizo lako wewe na wengine ni Ruge na sio issue ya Ruby!! Na wengine tatizo lao ni kutofahamu hii tasnia inaendeshwaje! Lakini narudi pale pale... endeleeni kumtia ujinga ambao hata nyinyi wenyewe hamjawahi kuufanya kwenye shughuli zenu huku hata wewe ukiwa unafahamu kwamba Ruby anaihitaji Fiesta kuliko Fiesta inavyomhitaji Ruby! Hata huu mjadala umekolea si kwa sababu ya Ruby bali kwa sababu ya Clouds!! Kama angekuwa amezinguana na wengine, hii mada wala isingepata attention! Hata kama show itakutanisha ONLY Baraka De Prince, Ya Moto Band, Ruby, Raymond, Harmonize, Dogo Janja, Young Killer na Stamina; bado kwenye hiyo show Ruby hawezi kupata status ya Featured Act!Hurnda alishang'atwa na nyoka so yuko conscious na ambacho kingeenda kutokea, labda ndio zao wale mapebari sio wa kuwatetea hata kidogo ruge anaroho mbaya sana
Hayo unayasema wewe , muda utaongea kama kweli jukwaa na ruby nani anamuhitaji mwenzie maswala ya kupewa promo kisha unyimwe uhuru wako yamepitwa na wakati.There you are! Tatizo lako wewe na wengine ni Ruge na sio issue ya Ruby!! Na wengine tatizo lao ni kutofahamu hii tasnia inaendeshwaje! Lakini narudi pale pale... endeleeni kumtia ujinga ambao hata nyinyi wenyewe hamjawahi kuufanya kwenye shughuli zenu huku hata wewe ukiwa unafahamu kwamba Ruby anaihitaji Fiesta kuliko Fiesta inavyomhitaji Ruby! Hata kama show itakutanisha ONLY Baraka De Prince, Ya Moto Band, Ruby, Raymond, Harmonize, Dogo Janja, Young Killer na Stamina; bado kwenye hiyo show Ruby hawezi kupata status ya Featured Act!
Sasa lakini jide si alikuwa tayar legend wakati analiamsha beef na clouds sasa ruby hata hit kumi hazijafika na wala nyimbo zake hazifiki hata 20Mmmh ruby naye anajiweka kwa jide? Haya yetu macho isije tukaskia ameenda kumpigia magoti ruge ili nyimbo zake zipigwe , Jide ni komando wa kike bongo hakuna mwanamziki wa kike mwenye msimamo Kama wake, huyo ruby anayetengeneza kiki kila akitaka kutoa wimbo mpya ndo naye anaweka bifu na mawingu? Mmh ngoja tuone, mie ngoja nipite na zangu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]