Maslahi ya Majaji Tanzania yapoje?

Maslahi ya Majaji Tanzania yapoje?

Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.

NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Binadamu hatosheki!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.

NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Mshahara kati ya 7-10 m.
Vx new model.
nyumba maeneo ya matajiri.
Likizo kila mwaka sehemu watayochagua.
Kwani wanaop
 
Kuna faza mmoja ni faza ake jamaangu kabisa kulaleki maisha ya yule mdingi ni mazuri kwa kweli, mkononi utamkuta na rolex ya kununua crown mbili, anapush mpira mmoja wa hatari , anamabiashara, kama saivi imetoka hata iphone 15 lazima anayo, ana bonge la mansion Masaki, ye kila kitu kwake ni brand aisee, dingi sijawah kumwona na Toyota…Huyu mzee tukiwaga tumekwama ndio tunaendaga kutubu, ni myamwezi sana….
Mnatubu kwake?.Amekuwa Mungu?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.

NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Unataka kuwa Jaji?
 
Mnatubu kwake?.Amekuwa Mungu?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Nikisema kutubu sio kwamba naenda kutubu kama Mungu mkuu, nikikwama nakubali nimekwama huyu mzee anatukwamuaga kwenye mambo mengi ndio maana yake masta, Muwe mnapita hata mtaa mjue lugha za mtaa, kwan we upo mkoa gani masta ? Mbona haiwezekan kutubu ulikosema wewe ukatubu kwa binadamu yeyote …
 
Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.

NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Mahakama imejiwekea haiba yabkupuuzwa na jamii kwa sababu wanarambaza nyayo za watawala.

Hakuna haki mahakamani labda kwa mahakimu au majaji wachache mnoo
 
Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.

NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Hamna kitu umesahau?🙂
 
Back
Top Bottom