Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa umsumbue mungu kwa tatizo dogo la pesa? Mungu amekaimisha majukumu mengine kwetu sisi wenyewe....
aiseee..! kumbe unafaudu mh. jaji [emoji1787]Mshahara kati ya 7-10 m.
Vx new model.
nyumba maeneo ya matajiri.
Likizo kila mwaka sehemu watayochagua.
Kwani wanaop
Naam. Maslahi rasmi ukiacha Yale ya kujiongezaJaji ana maslahi kumzidi Mkuu wa Mkoa?
kwa taarifa yako, kuna majaji wengi tu wanatamani hata kutoka kwasababu kile wanafanya hakilingani na kile wanapata na lifestyle yao waliyowekewa. Pia, kwenye issu eya slaa, mahakama iachwe, yeye mbona kamwongelea jaji tu hajaongelea upande wa huyo tapeli?Ningependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.
NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
NDUGUUU SIKIA KWA WATU YAKIKUKUTA MAHAKAMAN UTAWAJUANingependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.
NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha
Historia inategemea ujaji aliupataje, ni kama teuzi tu na kamba ndef etcNingependa kufahamu maslahi ya hawa waheshimiwa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu
1. Mishahara,
2. GARI VX/V8(SUV) zenye utambulisho maalum (JR, J),
3. Ulinzi,
4. Dereva,
5. Nyumba,
6. Posho ya mavazi,
7. Mafunzo ughaibuni,
8. Umeme,
9. Maji,
10. Airtime (muda wa maongezi kwenye simu zao za mikononi),
11. Posho ya vikao na safari.
NB: Ikiwa haya yote yanazingatiwa kuna ambae atakubali kuchukua RUSHWA kweli? Maana daah full raha