Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
12. Diplomatic Passport.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bei gani anapata?Jaji Tanzania ana stahiki karibia Waziri
Ndio mimi hapa kijana wanguKila november lazima liende ulaya kula good time, sijui anafanyaje fanyaje kupata hizo hela ila masta hela tutafute kwa nguvu sana watoto wake wote kawatafutia michongo anaetaka kuoa aoe na harus hazinaga michango ila mtakula na kunywa mpagawe , aloo ukienda jion maskani kwake, unakuta linapiga piga tizi za hapa na pale yan lile faza huwa ni li role model langu halinaga stress daaah…
Safi sana hiianabadilishiwa kila kitu cha ndani kila mwaka hili nina wakika nalo
Full nongwa🤣🤣🤣🤣Huko Halmashauri Afisa asipopeleka benki ushuru wa gulio 30,000/= CAG anaandikia ripoti page 50.
Kwa maslahi haya Jaji haitaji kugombea ubungeWatu wanakula maisha
Wakaombe kazi ya uhakimu wafanyiwe usailiwaende MPWAYUNGU wakaanzie huko..jaji ni issue nyingineKwann Sasa vijana hawapambani wakawa majaji?