Maslahi ya Majaji Tanzania yapoje?

Binadamu hatosheki!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Mshahara kati ya 7-10 m.
Vx new model.
nyumba maeneo ya matajiri.
Likizo kila mwaka sehemu watayochagua.
Kwani wanaop
 
Mnatubu kwake?.Amekuwa Mungu?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuwa Jaji?
 
Mnatubu kwake?.Amekuwa Mungu?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Nikisema kutubu sio kwamba naenda kutubu kama Mungu mkuu, nikikwama nakubali nimekwama huyu mzee anatukwamuaga kwenye mambo mengi ndio maana yake masta, Muwe mnapita hata mtaa mjue lugha za mtaa, kwan we upo mkoa gani masta ? Mbona haiwezekan kutubu ulikosema wewe ukatubu kwa binadamu yeyote …
 
Mahakama imejiwekea haiba yabkupuuzwa na jamii kwa sababu wanarambaza nyayo za watawala.

Hakuna haki mahakamani labda kwa mahakimu au majaji wachache mnoo
 
Hamna kitu umesahau?🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…