Masogange aibuka; adai ameokoka na hajawahi kumuona Makonda

Sijui hawa watoto wakoje cku hizi wanapenda sana kumchezea mungu atafute njia nyingine ya kujitetea tofauti na wokovu unafikiri mungu amuoni na matukio yake
 
Labda aliokoka na ile issue ya poda kule bondeni... Au kama sijaelewa kuokoka kwake anamaanisha nini zaidi!!!!
 
Huyu alikuwa anaishiwa anauza mpaka laki kwa mgeni, na 50 kwa anaerudia, siku hizi hata laki 5 hataki, atakuwa amejishikilia sehemu siyo bure.
Akiwa anauza hivyo ni "everything goes" au anakuchagulia nini kiwe na nini kisiwe?
 
sidhani kama hata tuliwahi kuonana macho kwa macho, mimi namuona kwenye TV na magazeti nadhani na yeye ni hivyohivyo,

Jamani nini maana halisi ya neno 'sidhani'? Na katika mazingira gani neno hili utumika? Hapa naona yeye 'hadhani' na anamsemea mheshimiwa Makonda pia nae "hadhani". Kuna msemo wenye maana kuwa 'utakapo niona nami nitakuwa nimekuona' (source imeminywa).
 

Sasa jamani hiyo picha si ingewekewa tarehe ya kupigwa jamani ili tupate clear info. Kama ni picha baada ya kuokoka naomba physical address ya kanisa analosali tafadhari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…