Masogange aibuka; adai ameokoka na hajawahi kumuona Makonda

Usikubari kirahisi hata kama anatumika hawezi sema. Muda utasema zaidi unisamehe Mie wa uswazi kiswahili lazima kiwe na tafsida.
Haina kwere arif..ile lile zgo lnatia hamasa sna..
Sema all n all asngeweza kuchoma krahsi
 
Atakuwa ameokoka upande mmoja tuu, upande mwingine hajaokoka. Unapokutana na mdada anakwambia ameokoka pale tuu unapomtokea kimapenzi afu bado mienendo yake mingine haiendani na dhana nzima ya kuokoka huyo kaokoka nusu ambayo ni sawasawa na kutookoka.
 
Mh..!
Siwezi kushangaa huyu kuamua kuokoka maana nasikiaga eti tayari.![emoji12]
 
Either Wokovu umevamiwa,
Au Kuokoka kumebadilishwa maana siku hizi,
Au vyote kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…