Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
aaaaaahhhhh, nimekuelewa sasaSijaikosoa, wanawake Wana sifa zao kwenye maswala ya ufundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaaaaahhhhh, nimekuelewa sasaSijaikosoa, wanawake Wana sifa zao kwenye maswala ya ufundi.
Mkuu kuna raia humu ndani zinajikuta takatifu sana asee.Ya Mungu mengi angeendekeza yakina wema leo angekufa bila kuacha alama duniani na nyie wapashkuna mngeongea tu,msijifanye watakatifu saanaaa ilihali nyie pia mmetelekeza familia zenu na kutapeli mali za urithi....Sitaki Swali hapa
Naipenda sana hii ngoma.avicii alikuwa murua kwenye FIFA15 yngu n ngoma yke y the nights
Shikamoo bibi!!mpo na bibi zenu humu.
Muwe mnatuheshimu.
Nimekuzidi miaka 45 dogo.
Rachel temu acha uongo! Kwa hyo saivi unamiaka zaidi ya 60?nimempita marehemu miaka 40.
kulalek walallah
Ya Mungu mengi angeendekeza yakina wema leo angekufa bila kuacha alama duniani na nyie wapashkuna mngeongea tu,msijifanye watakatifu saanaaa ilihali nyie pia mmetelekeza familia zenu na kutapeli mali za urithi....Sitaki Swali hapa
WTF is that?"Kisini stand up"
Mweeeeeh!!!!nimempita marehemu miaka 40.
kulalek walallah