Masogange na DJ Avicii walizaliwa siku moja 1989 na wote wamekufa siku moja

Masogange na DJ Avicii walizaliwa siku moja 1989 na wote wamekufa siku moja

Hebu tupe hesabu basi mtu wa 1986 kumiliki mtoto wa darasa la Saba.
Akipata mtoto (2000) akiwa na 14 yrs leo ana 18.
Haya piga hesabu sasa. Form four hiyo.
Na uchaguzi anafanya.
 
Tatizo ni pale mtoto wa kiume anapojaribu kujilinganisha na mtoto wa kike ndio matokeo yake haya. Mi sioni ajabu kabisa maana ni kawaida mitaani kukuta msichana wa below 20 kaolewa na ana mtoto juu
Upo sahihi mkuu. Vitoto viko vingi humu.
 
Tatizo ni pale mtoto wa kiume anapojaribu kujilinganisha na mtoto wa kike ndio matokeo yake haya. Mi sioni ajabu kabisa maana ni kawaida mitaani kukuta msichana wa below 20 kaolewa na ana mtoto juu
Kabisa, yani mtoto wa kike akimaliza la saba au form four halaf akawa hana mishe, ujue kuzaa kuko nje nje....wazazi wengi wanaozaa mtoto wa kwanza wana wastani wa miaka 15-20 (wengi sio wote)
 
Kabisa, yani mtoto wa kike akimaliza la saba au form four halaf akawa hana mishe, ujue kuzaa kuko nje nje....wazazi wengi wanaozaa mtoto wa kwanza wana wastani wa miaka 15-20 (wengi sio wote)
[emoji818] [emoji818][emoji818] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Sijui hyu mwenzetu yeye amekulia masaki au huko oysterbay yaani anaona ajabu na dhambi hilo jambo.

Amenifurahisha mkuu mmoja hapo juu kamwambia mtu kwamba hata hasingekuwa na mtoto bado angetokea mbongo mmoja na kusema check masogange amekufa bila hata mtoto wa kusingizia..

Ubarikiwe sana mkuu
 
[emoji818] [emoji818][emoji818] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Sijui hyu mwenzetu yeye amekulia masaki au huko oysterbay yaani anaona ajabu na dhambi hilo jambo.

Amenifurahisha mkuu mmoja hapo juu kamwambia mtu kwamba hata hasingekuwa na mtoto bado angetokea mbongo mmoja na kusema check masogange amekufa bila hata mtoto wa kusingizia..

Ubarikiwe sana mkuu
Asante mkuu

Hata wa huko Masaki ni kwamba huwa wanazichomoa

Uwe na Jumapili njema Mkuu
 
Watanzania kwa kukurupuka hapo wamekurupuka na Taarifa za Uongo.
 
avicii alikuwa murua kwenye FIFA15 yngu n ngoma yke y the nights
 
Mwenye Kapicha ka mtoto wa Marehemu Agnes Masogange atupie hapa.
 
Back
Top Bottom