Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haha haha haaaaUle wa muhogo? Manake nasikia huwa unajibadilisha kulingana na mazingira
Kweli hii nyumba kajenga mwanamke, sioni madirisha kwenye huu upande wa kushotoView attachment 752708 Nyumbani kwa Baba yake Mzazi Agness Gerald 'Masogange' Mbeya Mbalizi kata ya Utengule Usongwe ambapo mazishi yatafanyika tayari Wametenga Msiba. - Baba Mzazi anaitwa Gerald Waya ambapo amesema nyumba amejengewa na Mtoto wake Agness
Nimempongeza kwa kitendo cha kumjengea baba yake nyumba. Alitumia busara sana.View attachment 752708 Nyumbani kwa Baba yake Mzazi Agness Gerald 'Masogange' Mbeya Mbalizi kata ya Utengule Usongwe ambapo mazishi yatafanyika tayari Wametenga Msiba. - Baba Mzazi anaitwa Gerald Waya ambapo amesema nyumba amejengewa na Mtoto wake Agness
Ulizaliwaa nae auMasogange kazaliwa 23 April... alibakiza siku 3 kutimiza miaka 29
Kweli watoto wa kikee huwa wanakumbuka kwaooView attachment 752708 Nyumbani kwa Baba yake Mzazi Agness Gerald 'Masogange' Mbeya Mbalizi kata ya Utengule Usongwe ambapo mazishi yatafanyika tayari Wametenga Msiba. - Baba Mzazi anaitwa Gerald Waya ambapo amesema nyumba amejengewa na Mtoto wake Agness
Yaani alikua mtoto hivyo? Na ana mtoto mkubwa vile kwa miaka 29? Alikua na maisha ya hovyo sana!!
Acheni kukariri maisha nyinyi, maisha sio hisabati eti lazima utumie kanuni ya MAGAZIJUTO.nashangaa Mwanangu Nimezaa Na 28,wapili 30,watatu 32,nikimaliza Inabaki Kulea Tu
Huyu wa huku itakuwaKuna mmoja atawahi kufika
Huyu wa huku itakuwaKuna mmoja atawahi kufika
Hebu tupe hesabu basi mtu wa 1986 kumiliki mtoto wa darasa la Saba.Acheni kukariri maisha nyinyi, maisha sio hisabati eti lazima utumie kanuni ya MAGAZIJUTO.
Watu tuna path tofauti, kama ulichelewa wewe kutokana na vitu fulani najua wengi ni shule, wabongo bana
Hilo unaona la ajabu, nimesoma na rafiki yangu alijifungua tukiwa darasa la pili hadi leo mtoto ana miaka 16 na yeye ni 29's hiviHata hyo 1986 kuwa na mtoto wa std 7 inashangaza
Na asingekuwa na mtoto ungehoji pia makalio ya sisimizi weeYaani alikua mtoto hivyo? Na ana mtoto mkubwa vile kwa miaka 29? Alikua na maisha ya hovyo sana!!
Kumbe we bado kindadah huyu masogange kanizidi siku moja tu mie, 24 april 1989
Wewe ni nini labda kilicho kufanya uhitimishe ulivohitimisha huku ukiwa hata hesabu hujaifanya?Hebu tupe hesabu basi mtu wa 1986 kumiliki mtoto wa darasa la Saba.
Alizaa akiwa na 14.Miaka 29 ana mtoto mwenye age more than 15, alizaa akiwa mdogo sana, ila sishangaa, nyakyusa wanasemaga ni maji mara moja
32-13=19Hata hyo 1986 kuwa na mtoto wa std 7 inashangaza
Ulizotoa kabla zilikuwa ngapi? Mwenzio labda hakwenda vyuo kama wewe.nashangaa Mwanangu Nimezaa Na 28,wapili 30,watatu 32,nikimaliza Inabaki Kulea Tu