Masogange na DJ Avicii walizaliwa siku moja 1989 na wote wamekufa siku moja

Masogange na DJ Avicii walizaliwa siku moja 1989 na wote wamekufa siku moja

Masogange kazaliwa 23 April... alibakiza siku 3 kutimiza miaka 29
Sio kweli Agness hajazaliwa mwezi wa 4, kaangalie hata Insta siku aliyosherehekea birthday yake ni mwezi wa 9.
Screenshot_2018-04-22-12-32-49-1.jpg
 
Mmmh mm cjui ndo hesab sjui au!! Darasa la pili rafki ako alikua na 13 yrs? Ilkua shule au memkwa?
 
Yaani alikua mtoto hivyo? Na ana mtoto mkubwa vile kwa miaka 29? Alikua na maisha ya hovyo sana!!
Ila ni kweli tukiacha maisha ya kusifiasifia, kwa upande mwengine ni kama vile alikua mdangaji mno, nilimsikiliza baba yake pale alisema alikatisha masomo kwa ujauzito, akiwa kidato cha pili, na akakkimbia kwao.
 
Hebu tupe hesabu basi mtu wa 1986 kumiliki mtoto wa darasa la Saba.
Kwani wewe kinakuuma nini au mwenzetu tasa ndio maana unashangaa.... maana mtoto wa kike kuvunja ungo mapema kama alizaa na miaka 8 au 10 si yeye? kipi cha ajabu, ndio mapya kwako kuyasikia?? nenda wodi ya wazazi basi ukashangae zaidi....

Mtu mzima hovyoooo umeona huna cha kukosoa ndio umekomalia kazaa mapema kazaa mapema,
acha kupiga nyeto na wewe uzalishe nyooooo.
 
Ila ni kweli tukiacha maisha ya kusifiasifia, kwa upande mwengine ni kama vile alikua mdangaji mno, nilimsikiliza baba yake pale alisema alikatisha masomo kwa ujauzito, akiwa kidato cha pili, na akakkimbia kwao.
Sio Wa kwanza huyu kupata mimba form two. Mzee ajilaumu kwa malezi mabovu.
 
Iliharibika Moja Sijawahi Kutoa,halafu Naanzaje Kumjengea Nyumba Mzee Wakati Ana Nyumba Kinondoni,ana Urithi Wa Baba Yake Magomeni,kipunguni Na Mtaa Wa Sikukuu (opposite Sokoni Kariakoo) Huoni Kuwa Kumjengea Nyumba Ni Ufujaji Wa Rasilimali?Ongelea Niwajengee Wanangu Maana Mzee Alishajenga Yake City Center Alifu,usikariri Kuwa Kila Mtu Ana Shida Ya Nyumba
Ulizotoa kabla zilikuwa ngapi? Mwenzio labda hakwenda vyuo kama wewe.
Umemjengea baba yako nyumba?
Ulizotoa kabla zilikuwa ngapi? Mwenzio labda hakwenda vyuo kama wewe.
Umemjengea baba yako nyumba?
 
Back
Top Bottom