Masoko yaanza kuchomwa tena? Angalia Soko la Mbuyuni Moshi likiteketea

Masoko yaanza kuchomwa tena? Angalia Soko la Mbuyuni Moshi likiteketea

Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Usishangae kuna watu waliinjika maharage wakapitiwa usingizi wakati wakifanya yao
 
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Usishangae kuna watu waliinjika maharage wakapitiwa usingizi wakati wakifanya yao
 
Wafanyabiashara waelimishwe umuhimu wa bima ya biashara.
 
Taarifa ya Azam inaeleza kwamba soko la Mbuyuni huko Moshi linateketea usiku huu.

Moto umeanza usiku wa saa 7 tarehe 06/02/2024

Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?

...............
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio

Amesema Serikali inafanya tathmini ya kujua chanzo na hasara za moto huo ulioanza majira ya Saa 7 usiku wa Februari 6, 2024

Ikumbukwe, Mnamo Februari 29, 2016 Soko hilo liliungua baada ya moto mkali kuzuka majira ya Saa 2 usiku, pia Februari 1, 2022 Soko hilo liliteketea upande wa Matunda na Mbogamboga kwa moto ambao chanzo chake hakikujulikana mara moja


View attachment 2895511
Kazi ya uvccm hiyo ,hawa ni vijana wa ovyo kuwahi kutokea
 
Uwekezaji Uchwara tu huo.
Ni ukosefu wa utu na ulimbukeni.

Waasisi wa soko hilo wanahujumiwa, wanatiwa umasikini wakutengenezwa halafu bado utawasikia watu watakaodiriki kusema walikuwa hawana mchango wowote kwasababu palikuwa hakuna soko la Kisasa.

Yaani wao waasisi (wauzaji)na wachuuzi ndio watageuzwa kuwa 'Watumiaji' Consumers.

Baadae, watalazimika kuuza mashamba yao madogo, watalazimika kutafuta mikopo, halafu wao ndio wawe watumiaji.

Hata chini ya CHADEMA watafanya hayo hayo.

Kumbukeni maneno ya Lemma akihutubia huko.
 
Toka nimezaliwa Sijawahi kusikia na Kuona Masoko dizaini hizo, zikiungua kiasi hicho.

Haya yameanza hivi karibuni kwa speed ya kile wanachokiita mafisadi "Diplomasia ya Kiuchumi. Kitu bogus kabisa.

Mnafungulia Umasikini pale mnapopuuza Wazawa na Watanzania wenzenu.

Shenzi type zenu(Mnajijua)
 
Kwann wasitumie utaratib wa kawaida tu kuyajenga mpaka wawatie watu hasara??
Utaratibu wa kawaida ndiyo huo mkuu,lini umeona serikali ikiwaomba wafanyabiashara wa sokoni waondoke kupisha ujenzi? Mara ya mwisho kuona hilo ni miaka ya 2000 mwanzoni,wafanyabiashara wa soko la kilombero Arusha walipoombwa waondoke ili soko lao ligeuzwe stand ya ma bus kwa muda,wakati huo stand ya ma bus ilishaungua/unguzwa hivyo hakukuwa na stand,wafanyabiashara wa kilombero walikubali shingo upande kwa ahadi kuwa stand ikikamilika soko litajengwa upya kwa ubora zaidi na watapewa vizimba wao kwanza, ila! Stand ilipokamilika na eneo la soko likauzwa kwa mwekezaji,,hadi Lema alipohamasisha boycotting ndiyo likarudi,nothing new.
 
Huu uzi ulitokomezwa , halafu umerejeshwa tena ! kwamba wakubwa walijua tunazusha ?
 
Taarifa ya Azam inaeleza kwamba soko la Mbuyuni huko Moshi linateketea usiku huu.

Moto umeanza usiku wa saa 7 tarehe 06/02/2024

Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?

...............
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio

Amesema Serikali inafanya tathmini ya kujua chanzo na hasara za moto huo ulioanza majira ya Saa 7 usiku wa Februari 6, 2024

Ikumbukwe, Mnamo Februari 29, 2016 Soko hilo liliungua baada ya moto mkali kuzuka majira ya Saa 2 usiku, pia Februari 1, 2022 Soko hilo liliteketea upande wa Matunda na Mbogamboga kwa moto ambao chanzo chake hakikujulikana mara moja


View attachment 2895511
CCM mnaiba kura lakini mnashindwa kuiba spea mtengeneze gari la zimamoto!
 
Back
Top Bottom