Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
KolaboSasa hili dili anafanya serikali au ni sehemu ya ushawishi wa wanaotaka dili za ujenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KolaboSasa hili dili anafanya serikali au ni sehemu ya ushawishi wa wanaotaka dili za ujenzi?
Usishangae kuna watu waliinjika maharage wakapitiwa usingizi wakati wakifanya yaoKufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Usishangae kuna watu waliinjika maharage wakapitiwa usingizi wakati wakifanya yaoKufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Wananchi wabishi kuhamaKwann wasitumie utaratib wa kawaida tu kuyajenga mpaka wawatie watu hasara??
Michezo ya akina SabayaHizi ni dili za kujenga masoko mapya... Hivyo masoko ya zamani yataendelea kuteketezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Peleka ujinga wako hukoAkina Benyamin Netanyahu wa Ufipa 😂
Kazi ya uvccm hiyo ,hawa ni vijana wa ovyo kuwahi kutokeaTaarifa ya Azam inaeleza kwamba soko la Mbuyuni huko Moshi linateketea usiku huu.
Moto umeanza usiku wa saa 7 tarehe 06/02/2024
Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?
...............
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Amesema Serikali inafanya tathmini ya kujua chanzo na hasara za moto huo ulioanza majira ya Saa 7 usiku wa Februari 6, 2024
Ikumbukwe, Mnamo Februari 29, 2016 Soko hilo liliungua baada ya moto mkali kuzuka majira ya Saa 2 usiku, pia Februari 1, 2022 Soko hilo liliteketea upande wa Matunda na Mbogamboga kwa moto ambao chanzo chake hakikujulikana mara moja
View attachment 2895511
It looks like it !Hizi ni dili za kujenga masoko mapya... Hivyo masoko ya zamani yataendelea kuteketezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Peleka ujinga wako huko
Huku hakuna wakinga wachawi wa kuzuia😂😂😂
Poleni manka ila mtajengewa Soko la kisasa kama pale jirani na Jogoo House Magomeni kwa Mrema!
Huwa wanatumiwa vibaya na Wahuni waliomo Chamani kwa maslahi yao Wahuni !Kazi ya uvccm hiyo ,hawa ni vijana wa ovyo kuwahi kutokea
Utaratibu wa kawaida ndiyo huo mkuu,lini umeona serikali ikiwaomba wafanyabiashara wa sokoni waondoke kupisha ujenzi? Mara ya mwisho kuona hilo ni miaka ya 2000 mwanzoni,wafanyabiashara wa soko la kilombero Arusha walipoombwa waondoke ili soko lao ligeuzwe stand ya ma bus kwa muda,wakati huo stand ya ma bus ilishaungua/unguzwa hivyo hakukuwa na stand,wafanyabiashara wa kilombero walikubali shingo upande kwa ahadi kuwa stand ikikamilika soko litajengwa upya kwa ubora zaidi na watapewa vizimba wao kwanza, ila! Stand ilipokamilika na eneo la soko likauzwa kwa mwekezaji,,hadi Lema alipohamasisha boycotting ndiyo likarudi,nothing new.Kwann wasitumie utaratib wa kawaida tu kuyajenga mpaka wawatie watu hasara??
Sababu sokoni ushirikina mwingi. Ukiwa na macho ya rohoni unaweza kuwaona wafanya biashara wengi wako uchi kwenye vizimba vyao.Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?
CCM mnaiba kura lakini mnashindwa kuiba spea mtengeneze gari la zimamoto!Taarifa ya Azam inaeleza kwamba soko la Mbuyuni huko Moshi linateketea usiku huu.
Moto umeanza usiku wa saa 7 tarehe 06/02/2024
Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?
...............
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Amesema Serikali inafanya tathmini ya kujua chanzo na hasara za moto huo ulioanza majira ya Saa 7 usiku wa Februari 6, 2024
Ikumbukwe, Mnamo Februari 29, 2016 Soko hilo liliungua baada ya moto mkali kuzuka majira ya Saa 2 usiku, pia Februari 1, 2022 Soko hilo liliteketea upande wa Matunda na Mbogamboga kwa moto ambao chanzo chake hakikujulikana mara moja
View attachment 2895511