Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Walipita pale wakati wanaenda Ngorongoro wakashuhudia kuwa ni kweli.Huu uzi ulitokomezwa , halafu umerejeshwa tena ! kwamba wakubwa walijua tunazusha ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipita pale wakati wanaenda Ngorongoro wakashuhudia kuwa ni kweli.Huu uzi ulitokomezwa , halafu umerejeshwa tena ! kwamba wakubwa walijua tunazusha ?
Noted Kaka Mshana
Ili wakubwa wale hela za kutangazia zabini, hela za wazabuni na zabuni yenyewe.Hizi ni dili za kujenga masoko mapya...
Mkuu saa 7 usiku ya tarehe 06.02.24 imeshafika?Taarifa ya Azam inaeleza kwamba soko la Mbuyuni huko Moshi linateketea usiku huu.
Moto umeanza usiku wa saa 7 tarehe 06/02/2024
Hivi kwanini masoko hayaungui mchana?
...............
Kufuatia ajali ya Moto iliyoteketeza Soko la Mbuyuni, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema moja ya changamoto zilizosababisha moto huo kutodhibitiwa kwa wakati ni Ubovu wa gari la Zimamoto la Manispaa hiyo, uliosababisha kuomba msaada wa gari kutoka TPC ambalo lilichukua takriban Dakika 30 kufika eneo la tukio
Amesema Serikali inafanya tathmini ya kujua chanzo na hasara za moto huo ulioanza majira ya Saa 7 usiku wa Februari 6, 2024
Ikumbukwe, Mnamo Februari 29, 2016 Soko hilo liliungua baada ya moto mkali kuzuka majira ya Saa 2 usiku, pia Februari 1, 2022 Soko hilo liliteketea upande wa Matunda na Mbogamboga kwa moto ambao chanzo chake hakikujulikana mara moja
View attachment 2895511
Saa 7 usiku ya tarehe 06.02.24 imeshafika?😂😂😂
Poleni manka ila mtajengewa Soko la kisasa kama pale jirani na Jogoo House Magomeni kwa Mrema!
Hii unayoisema wewe itakuwa ya tarehe 7Mkuu saa 7 usiku ya tarehe 06.02.24 imeshafika?
DaaahWalipita pale wakati wanaenda Ngorongoro wakashuhudia kuwa ni kweli.
Ohoo. Asante. Nilichanganya madawa. Kumbe leo ni tarehe 6.Saa 7 usiku ya tarehe 06.02.24 imeshafika?
Tulikuacha ujisahishe mwenyeweOhoo. Asante. Nilichanganya madawa. Kumbe leo ni tarehe 6.
Na vipi kuhusu Mali za wafanyabiashara na mitaji Yao Sasa.Hizi ni dili za kujenga masoko mapya... Hivyo masoko ya zamani yataendelea kuteketezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakimla tigo itasaidia vipi kufidia mitaji ya watu na Mali Zao?tanzania na laana damudamu. mambo ya kufukarishana haya. wakimjua aliyefanya hayo wamlawiti kisha wamchome moto
kupooza machungu mkuu na kumdhalilishaHata wakimla tigo itasaidia vipi kufidia mitaji ya watu na Mali Zao?
Tumeiweka kwenye ajenda yetu ya kampeni za CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, tutawachangia sukari na vipande vya sabuni.Na vipi kuhusu Mali za wafanyabiashara na mitaji Yao Sasa.
Ushirikina kila mahali !Sababu sokoni ushirikina mwingi. Ukiwa na macho ya rohoni unaweza kuwaona wafanya biashara wengi wako uchi kwenye vizimba vyao.
hahahaha!Akina Benyamin Netanyahu wa Ufipa 😂