Masoko yaanza kuchomwa tena? Angalia Soko la Mbuyuni Moshi likiteketea

Mkuu saa 7 usiku ya tarehe 06.02.24 imeshafika?
 
tanzania na laana damudamu. mambo ya kufukarishana haya. wakimjua aliyefanya hayo wamlawiti kisha wamchome moto
 
Sababu sokoni ushirikina mwingi. Ukiwa na macho ya rohoni unaweza kuwaona wafanya biashara wengi wako uchi kwenye vizimba vyao.
Ushirikina kila mahali !
Duh 🙄! Watatumaliza!
Lakini mbona hatuwaoni wakitajirika ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…