Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Yasiondolewe ila yawe na Pass ya Subsidiary km ilivyokuwa kwa BAM na GS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kwamba wewe ni mpumbavu Sana kwenye siasa kwa hili nakuunga mkono.Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Masomo ya O level kama Kiswahili, Civics na Historia yanapotezaa tu muda watoto.
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza Form Four awe tayari kukabiliana maisha.
Sema ICT...ambayo ipo kwa sasa.Waweke computer science kuanzia ngazi ya primary
Ndo akili ya mwafrika hii ilivyo, kama yako....Kwa hali hii wacha kozi zingine zisipatikane tu bongo,wenye uhitaji watazifuata South Africa na Northern hemisphere.Hiyo lugha ya Kiswahili akimaliza shule atatumia hiyo kama asset wapi ili apate pesa?
Hiyo civics ataitumia wapi ili ajiajiri aitumie imwingizie pesa?
uko sahihiHiyo lugha ya Kiswahili akimaliza shule atatumia hiyo kama asset wapi ili apate pesa?
Hiyo civics ataitumia wapi ili ajiajiri aitumie imwingizie pesa?
Yanapotezea muda watoto .Wayasome primary tu anayeyataka kuendelea nayo akayoseme A level huko.ndio kuwe na hizo choice akitaka Civics , historia,au Kiswahili akaenedelee nayo huko yapishe masomo ya kilimo,ufundi na ufugaji ambayo Yana nguvu ya kutoa ajira kupitia kujiajiriYasiondolewe ila yawe na Pass ya Subsidiary km ilivyokuwa kwa BAM na GS.
Sasa kiswahili kikiondolewa utawezaje kuandika yaondolewe? Wewe mwenyewe kuandika neno rahisi la Kiswahili yaondolewe umeshindwa umeandika "yaendelewe" ndiyo nini sasa hiyo?Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo
Masomo ya O level kama Kiswahili, Civics na Historia yanapotezaa tu muda watoto.
Yawekwe masomo ya kilimo na ufugaji kuanzia wa wanyama, ndege, samaki na some la ufundi wa kutengeneza vitu kutokana na rasmali zetu kama kutengeneza viatu vya ngozi, ushonaji pamba tunayo, useremala miti tunayo, ugundi wa kupika vyakula mbalimbali kama chapati mazao tunayo nk utengenezaj viito madini tunayo nk ili mtoto akimaliza Form Four awe tayari kukabiliana maisha.
Yaani watu wanajifanya wajuaji wakati wenyewe ni mbumbumbu wa viwango vya hali ya juu.We ni mpumbavu kweli.
Wakitoe Kiswahili halafu iweje? Kuna nchi duniani isiyofundisha watu wake lugha?
Tena mimi ningependa masomo ya lugha yaongezwe na yakaziwe msumari. Watu wajifunze lugha nyingi kadiri inavyowezekana.
Shida yenu hata maana ya elimu bora hamfahamu! Mmejaa siasa siasa tu na ushabiki maandazi.
Elimu ya Tanzania ni nzuri isipokuwa inahitaji maboresho machache. Masomo yaongezwe lakini wanafunzi wafanye uchaguzi.
Niliwahi kuandika hapa kwamba "specialization" ianze kufanyika mapema kuanzia sekondari badala ya kuwatwika wanafunzi masomo yote wasome kila kitu.
Ongeza masomo, zidisha specialization.
Kiswahili tunasoma miaka Saba primary pamoja na kuwa tunakiweza kukiongea mitaani hizo spelling mistakes kitu kidogo .Sasa kiswahili kikiondolewa utawezaje kuandika yaondolewe? Wewe mwenyewe kuandika neno rahisi la Kiswahili yaondolewe umeshindwa unaandika "yaendelewe" ndiyo nini sasa hiyo?
Hao waliyosomea mengineyo wameweza kujiajiri?Kiswahili tayari tunacho.kichwani ni.lugha yetu ya kila siku shule za msingi mtu kasoma kiswahili miaka Saba Tena masomo yote Bado tununampa zigo O level.Somo la kiswahili na uraia yafundishwe mwisho primary .Mtu akitaka kuwa specialist wa hayo masomo akayasome A Level.akitaka.
Mfano somo la economics hakifundishwi primary Wala O level liko A level Ya combination za ECA,HGE na EGM
Form four mtoto anakuwa kaiva kiumri kujitengemea Huwezi rudisha mtoto mtaani awezaye ongea tu Kama bwege kiswahili, history na Civics wakati hajui kulima,kufuga,Wala kupika hata maandazi au chapati kutumia ngano yetu auze apate pesa aache kelele za kusema ajira hamna
Elimu itoe wanafunzi wa kuajirika au kujiajiri Civics,kiswahili na history hayana huo ubavu yanazalisha wajinga tu Mitaani wasioweza jiajiri au kuajirika
Na kwenye literature watoe vitabu vya kina Onkokwo badala yake waweke Think big grow rich au rich Dad and poor Dad etc.
Unajua implications za hayo masomo kuondolewa?Kiswahili tunasoma miaka Saba primary pamoja na kuwa tunakiweza kukiongea mitaani hizo spelling mistakes kitu kidogo .
Suala la kuchagua ndio la msingi. Mtu unasoma masomo kumi, this is too much! Mi ningeshauri secondary watu wasome masomo yasiyozidi sita, yaani Kiswahili, English na Mathematics yanakuwa ni compulsory then mtu baada ya hapo anaweza chagua masomo mengine matatu ya kus-pecialize atakayoenda nayo hadi form six au chuo. Hii ianzie form one. Biashara, Kilimo, Sayansi ( Ningependa iwepo na Ufundi lkn na hakika facilities za kufundishia na uchache wa walimu itakuwa changamoto kubwa sana)Yasiondolewe ila yaongezwe,mwanafunzi achague mwenywe nini anataka kusoma,,,, lakinu hofu yangu kichwa kimoja mambo mengi kitamudu kweli
Huwezi futa historia na hesabu mileleMkuu hapo umeteleza hayo masomo ni muhimu sana. Labda useme turekebishe contents ila sio kuyafuta
Tatizo kubwa kwa yote uliyosema nu watoto vichwa kupata Moto kwa kujazwa misomo isiyoamsha vichwa vyao kujiajiri na kufanya mambo kitaalamu unawajaza vichwa mi kiswahili,mi historia na mi Civics unapobteza nguvu za akili kwa kuwajaza mavitu ambayo sio basic need ya kuwasaidia wajitegemee.Wabafika huko juu vichwa vimechoka kwa kujaza mitakataka mingi isiyohotajika kwenye maisha yao ya kujitengemeaUnajua implications za hayo masomo kuondolewa?
Kwani sasa hivi watu hawalimi?
Wanaolima na kuvuna wanapata masoko ya uhakika?
Kwenye soko la dunia, mazao/ malighafi kutoka Tanzania yanao ubora wa kushindana?
Hao wahitimu wa vyuo vya ufundi hawatengezi bidhaa kwa sasa? Na kama wanatengeneza bidhaa zao zinavutia soko?
Kwa nini kuna mlundikano wa bidhaa za kichina na mataifa mengine ya nje?
Hadi hapo tatizo ni kiswahili, Historia, & co?
Hadi hapo akili yako imeanza kufunguka?