Na kwenye literature watoe vitabu vya kina Onkokwo badala yake waweke Think big grow rich au rich Dad and poor Dad etc.
By the way vile vitabu sijui lengo lake ni nini hasa.sijui kama vinasaidia kuandaa chochote au ni kufaulu mtihani tuu.
Nadhani serikali ingekuwa inaangalia mataifa mengine yanafundisha masomo gani.inawezekana tunafundisha vitu vilivyopitwa na wakati kabisa.
Kuna wakati huwa hata nadhani pengine taasis zinazolatibu mitaala ya elimu ni wavivu sana au ni watu wa zamani sana,kiasi mambo ya sasa ni magumu kwao kuelewa