Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya pia anapaswa kuelewa kuwa KODI siyo silaha ya MAANGAMIZI. Kila nchi duniani watu wanalipa kodi, hakuna taifa ambalo raia wake hawalipi kodi.

Hapa Tanzania, raia wanaichukia kodi sababu walizoea kuishi maisha ya kukwepa kulipa kodi. Sasa hivi wamekutana na Serikali MAKINI yenye kukusanya kodi, wanaiona kodi ni kama mateso. Ndiyo maana akina Masoud wanachora michoro inayo-depict kodi kama silaha ya kuwaangamiza wananchi.

Kwa weledi na exposure aliyoanayo Masoud Kipanya hakupaswa kuchora mchoro kama huo. Yeye ni mtu ambaye yupo kwenye sekta ya habari na anaelewa sana umuhimu wa kodi kwa taifa hili.

Ingawa hana kesi ya kujibu lakini ukweli ni kwamba amekosea sana. He should have done better.
Katuni husika umeiona ebu unganisha na mchango uone kama vinaendana..
 
Masoud Kipanya pia anapaswa kuelewa kuwa KODI siyo silaha ya MAANGAMIZI. Kila nchi duniani watu wanalipa kodi, hakuna taifa ambalo raia wake hawalipi kodi.

Hapa Tanzania, raia wanaichukia kodi sababu walizoea kuishi maisha ya kukwepa kulipa kodi. Sasa hivi wamekutana na Serikali MAKINI yenye kukusanya kodi, wanaiona kodi ni kama mateso. Ndiyo maana akina Masoud wanachora michoro inayo-depict kodi kama silaha ya kuwaangamiza wananchi.

Kwa weledi na exposure aliyoanayo Masoud Kipanya hakupaswa kuchora mchoro kama huo. Yeye ni mtu ambaye yupo kwenye sekta ya habari na anaelewa sana umuhimu wa kodi kwa taifa hili.

Ingawa hana kesi ya kujibu lakini ukweli ni kwamba amekosea sana. He should have done better.

Haya ndio maoni ya mazezeta wa ccm
 
27d55634d45c470f79b1aa5b01ba40c3.jpg
Hii katuni siielewi kabisa, naomba ufafanuzi. 1.) Hilo kombora la kodi linaelekezwa kwa adui yupi?
2.) Kodi inakuaje Kombora?
 
Lazaro Mambosasa.....huyu jamaa anapenda sifa sana.. Nahisi anajiandaa kua IGP maana sote tunajua Siro akiteleza tu Mkuu anamtema.. Sasa who is the next IGP, ni Mambosasa.

Tukamateni wote mridhike
Huenda ni mtu hatari Sana huyu
 
Safi sana police wanyooshe wanaojitia shingo ngumu...
 
Watampa promo ya maana sana kama watamkamata.
Na kama ni kweli basi kuna haja bwana mkubwa kuangalia utendaji kazi wa baddhi ya wasaidizi wake maana izi kamata kamata sasa mpaka mchora Katuni?
Hivi unadhani watu wanakamatwa tu bila maagizo yake , anaagiza mwenyewe .
 
Wandishi wa habari wa Tanzania wana cha kujifunza walivamiwa na kutishiwa kuuliwa na bwana bashite wakaweka msimamo wa kutoandika habar zake sijui kimetokea nini leo jamaa anapewa airtime ya kutosha kabisa. Yani mtu atake kukuua kisha mpatanishwe kwenye mkutano wa hadhara nawe ukubali?
Wameacha kuwa weledi wao wanatengenezewa habari na bwana msigwa yule wa ikulu tena kwa vihabari visivyo ha na muendelezo? At wakiambiwa kuna makinikia wote wanaandika weeee lakini kile tu cha ikulu bila hata kwenda kuhoji upande mwingine? Mwandishi anaambiwa yameolotwa magar bandarini naye anaishia hapo tu? Mwandishi anaambiwa eng muhando ametumbulwa naye anaishia hapo tu wakati anaendelea kulipwa mishahara na sasa karudishwa kazini!? Hao clouds ndo hovyo kabisa hii ya kipanya kama ya kweli itawafundisha kitu kingine. Haitoshi tu kupigiwa simu ati mtu anaangalia shilawadu nawe unakenua
 
Masoud Kipanya pia anapaswa kuelewa kuwa KODI siyo silaha ya MAANGAMIZI. Kila nchi duniani watu wanalipa kodi, hakuna taifa ambalo raia wake hawalipi kodi.

Hapa Tanzania, raia wanaichukia kodi sababu walizoea kuishi maisha ya kukwepa kulipa kodi. Sasa hivi wamekutana na Serikali MAKINI yenye kukusanya kodi, wanaiona kodi ni kama mateso. Ndiyo maana akina Masoud wanachora michoro inayo-depict kodi kama silaha ya kuwaangamiza wananchi.

Kwa weledi na exposure aliyoanayo Masoud Kipanya hakupaswa kuchora mchoro kama huo. Yeye ni mtu ambaye yupo kwenye sekta ya habari na anaelewa sana umuhimu wa kodi kwa taifa hili.

Ingawa hana kesi ya kujibu lakini ukweli ni kwamba amekosea sana. He should have done better.
Kodi isitumike kukomoa wakosoaji wa utawala.
 
Sizonje....

Hofu kuu imemtawala yeye na Vibaraka wake.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mambosasa alituahidi kutupa taarifa ya VIROBA VYA MAITI za coco beach hadi leo kafyata mkia.. yupo busy na kina Dokta Shika ili asake umaarufu
 
Hahaaaaaaa yaani hadi katuni ni uchonganishi? Huyu Ngosha hawezi kuwa na mwisho mzuri. [HASHTAG]#takeitfromme[/HASHTAG]
 
  • Thanks
Reactions: 911
Back
Top Bottom