Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
B500 unaifahamu lakini? Hapo kwenye B500 ndo inapokosa userious.Hii ishu ipo serious
Hivi ukiangalia dhihaka, matusi wanayotukana hao watu halafu wajanja mwisho wanamalizia watoto wa mama, namuunga mkono mama , mama mitano tena unawaangalia unasema hawa watoto wajinga sanaFunzo ni mtuhumiwa kulipa faini akikutwa na hatia au kifungo akishindwa zaidi ya hapo hii michezo ya kuigiza itaendelea kuwepo
Mwijqku Ameyatimba! Akichomoka hapo,akachinje kuku kishingoHuyo mwijaku anapenda sana kutukana watu lakini akiguswa yy anamaind.Kipanya komaa nae huyo fala mpaka anyeee kazoea huyo..juzi tu alikaita katoto ka watu malaya .
Ooh. Okey. Niliona vibaya au imefanyiwa editing? Nimeona kama B500.Bil 5.
Labda mzee. Ila Bil 5 ata mahakama ikishusha hadi 1 sio mbaya.Ooh. Okey. Niliona vibaya au imefanyiwa editing? Nimeona kana B500.
Atauza gharaofa lake lileMwijaku nae amezidi mdomo mdomo! Milioni elfu 5 sina hakika kama anaweza kuwa nazo.
Ata 1% ya iyo hela Mwijaku hana.
Watauza lile ghorofa ile Noah na Alphard akajifunze.Mwijaku nae amezidi mdomo mdomo! Milioni elfu 5 sina hakika kama anaweza kuwa nazo.
Tutadaka like ghorofa tutapiga bei. Ndio tutajua lake ama sio lake
Watauza lile ghorofa ile Noah na Alphard akajifunze.
Na kuilipa huwa si lazima ndani ya muda mfupi, atajipiga piga weee mpaka uzeeni akamilishe.Labda mzee. Ila Bil 5 ata mahakama ikishusha hadi 1 sio mbaya.
Mke atamlinda maana ahusiki kwenye huo ugomvi. Kama ni serious atalipa lipa baadae atasamehewa.Watauza lile ghorofa ile Noah na Alphard akajifunze.