Kwakweli inabidi kupelekana mahakamani kwa sababu uhuru wa kuongea haimaniishi kumchafulia mtu kwa kumtaja jina.
Mwenzake Doto Magari huwa anamponda mtu kwa mafumbo na hataji mtu, sasa huyu Mwijaku kajiamini kupitiliza, aisee ni hatari kumtaja mtu tena kwa jina hata kama kweli anafanya hivyo, akienda mahakamani anakufilisi.
Mwenzake Doto Magari huwa anamponda mtu kwa mafumbo na hataji mtu, sasa huyu Mwijaku kajiamini kupitiliza, aisee ni hatari kumtaja mtu tena kwa jina hata kama kweli anafanya hivyo, akienda mahakamani anakufilisi.