Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Hahahahaha kupata vichekesho kama hivyo andik Mtulia kisha tuma 23344.... Yaani fedha za katuni au maisha plus zinunue hammer hahahaha...
Infact, Mwananchi jamaa analipwa laki 8. Clouds 1.5... Maisha plus ilikufa longtime ago... Kilimo kamuulize millionea Sumry habari za kilimo, then ndio urudi tena
Daaah mwambieni bwana huyu sijui ni jinsia gani hata ke haiko hivyo labda -keWe kumae unawivu wa kike sana,tumia akili pambana
Kunya anye kuku akinya bataHabari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Mtu anaweza kumpiga mwenzie kipapai wallah..aaah jaamani !Angemkuta kakamata Bomba kwenye Hitcher la Mbagala posta Nafsi yake ingesuuzika sana!
kuna Binadamu wana roho ya kijicho hataree
Wa hivi ni kumsamehe bure tu kesha pigwa na maishaMtu anaweza kumpiga mwenzie kipapai wallah..aaah jaamani !
Mkuu ngada hiyo, ataeleweka tu, aandae hesabu zake vizuri, mapato na matumizi, wahusika wamekusomaHabari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Kichwa cha Kipanya ni sawa na vichwa vi 4 vya Prof Lipumba kwenye ku make money,Sijapata jibu. Huyu ni mtu mashuhuri. Ningependekeza hata Wasanii wawe wanatangaza mali zao kama wafanyavyo washika dau Serikalini.
Kama unadhani kuuza ngada ni simple kama unavyo dhani nenda kauze kete... Ununue hammer na weweMkuu ngada hiyo, ataeleweka tu, aandae hesabu zake vizuri, mapato na matumizi, wahusika wamekusoma
Huu ni ujinga na chuki zisizo na maana, kwani hata akimiliki ndege au meli wew kinakuuma nin? Kwanin watanzania tunachuki hivi? Kwanin na wew usipambane ukapata Mali zako na magari yako ya kifahari?Habari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Maisha ya kibongo 40+ na kidogo bado mkuuNadhani kiumri yupo 40+ so kumuita mtoto mdogo unakosea mzazi!
Acha ukuda! Fanya kazi ufanikiwe na wewe.Habari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.