Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Hivi wale watu tulioaminishwa ni wauza unga enzi za jk bado WaPo?
 
Hahahahaha kupata vichekesho kama hivyo andik Mtulia kisha tuma 23344.... Yaani fedha za katuni au maisha plus zinunue hammer hahahaha...

Infact, Mwananchi jamaa analipwa laki 8. Clouds 1.5... Maisha plus ilikufa longtime ago... Kilimo kamuulize millionea Sumry habari za kilimo, then ndio urudi tena

Kwani Hammer bei gani?
 
Tumuulize aliyeleta unafiki humu watu wanamliki majumba mazuri na bado wanatumia vitz
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Kunya anye kuku akinya bata

Pambana na hali yako wewe, unafiki umewajaa kisa anawachora, na mtachorwa sana msipojirekebisha, ati nikam zoom, [emoji1] [emoji1] [emoji1] ki-wonder kingine hicho kipe jina.

c.c: masudi jiandae wanakuja hao
 
Angemkuta kakamata Bomba kwenye Hitcher la Mbagala posta Nafsi yake ingesuuzika sana!

kuna Binadamu wana roho ya kijicho hataree
Mtu anaweza kumpiga mwenzie kipapai wallah..aaah jaamani !
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Mkuu ngada hiyo, ataeleweka tu, aandae hesabu zake vizuri, mapato na matumizi, wahusika wamekusoma
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Huu ni ujinga na chuki zisizo na maana, kwani hata akimiliki ndege au meli wew kinakuuma nin? Kwanin watanzania tunachuki hivi? Kwanin na wew usipambane ukapata Mali zako na magari yako ya kifahari?
Ndo ninyi mnataka wenzenu waishi kama mashetani badala ya nyie kupambana muishi kama malaika.
 
Viwander vya awamu hii ndo hivyo made in kolomije. Ushamba. Pumbavu mtoa mada. Fanya kazi, sio kutumwa tumwa tu nakutafuta vyeo.
 
Habari yanu wakuu,
451e568b551fb912713d1d546e48f261.jpg

Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Acha ukuda! Fanya kazi ufanikiwe na wewe.
 
Back
Top Bottom