Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
hao wengine wapo hapo harusini, hebu onyesha sura zao!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa hyo stress hana ndo maana yuko ivyo kama willy smith😂😂Ina maana kipanya mwaka huu anatimiza miaka 50[emoji15] aiseee hafananii na umri huo
Mke siyo mama yako sheikh anakuaje mmoja?Inategemea na nke na nke
Mkubwa hyo stress hana ndo maana yuko ivyo kama willy smithIna maana kipanya mwaka huu anatimiza miaka 50[emoji15] aiseee hafananii na umri huo
Jitafakari na uchukue hatua[emoji4]Duu jamaa anao wa4 wakati mimi hata mmoja sina[emoji2296]
SawaJitafakari na uchukue hatua[emoji4]
Mitazamo ya kitoto Sana Hii, sio rahisi Kama unavichukulia[emoji4]akiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
KWENYE uislamu, kuoa Ni sunna.Michepuko inavyolazimisha ndoa ni balaa
Hakuna mwanaume anaependa kuhangaika hiv
Kizuri kula na nduguyoakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Wachache Sana hao, mambu zetu walioa 10+ na hawakua na Mali kivileUtajiri wa wake
Pumbaf! huyo wangu usirudie tena!! vinginevyo nitaomba JF max atukutanishe nikupige mpaka ulie poo!! usirudie ten mtoto wa juzi juzi hapa unalilia kuoa mama zako!! mfyuuuxxxxz!Jokate nitamuwowa Mimi😁
MKE mmoja Ni kujilemaza kimwili na kiakili,Sawa