Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

akiwa na mke wa kwanza....

mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa

akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa

akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa

akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa


halafu wakeze walivyo pisi sasa......


kuna watu watafaidi sambamba nae.......


NB

ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Mawazo ya kifukara sana.....we unadhan kila mwanamke ni wa kuchabangwa tu?
 
akiwa na mke wa kwanza....

mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa

akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa

akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa

akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa


halafu wakeze walivyo pisi sasa......


kuna watu watafaidi sambamba nae.......


NB

ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Wewe bado hujakua , unamitazamo ya kitoto Sana , Kama mtoto Wa darasa LA pili
 
Wengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.

Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.

Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.

Hatimaye kapata mke wa nne

View attachment 2091463

View attachment 2091464

View attachment 2091465

View attachment 2091466
Umasikini huo
 
Wengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.

Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.

Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.

Hatimaye kapata mke wa nne

View attachment 2091463

View attachment 2091464

View attachment 2091465

View attachment 2091466
Wanawake wana kazi sana, huyo dada anatabasamu pamoja na kuolewa mke wa nne, kweli tumetofautiana

Anyways, hongera sana kwake kwa kupata ndoa na kua mke namba nne, tunamtakia kila la heri
 
Ningejuwa mapema ningebadili dini ungekuta nami nina wawili sasa hivi,
Ila ndiyo hivyo tena acha tuendelee kusota!
 
Hakuna mwanaume aliwahi ridhika na uke mmoja,

Hata wee pia ulieoa MKE mmoja, kama kweli umekamilika kimaumbile na kihisia.

Uko nje bila shaka unao wawili Hadi watatu unachepuka nao kisirisiri.

Vinginevyo utwambie maumbile yako yana mapungufu kibaiolojia[emoji4]
Kasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?
 
Tutake radhi mkuu.

Above 50 ndio mpango.

Ukifika utaelewa!
Labda kama kaoa kutimiza matakwa ya dini yake ya uislam. Nakwambia kutoa huduma za kitandani ni kazi ngumu kwake. Atasaidiwa tu. Sema na hawa dada zetu nao hamnazo. Unaendaje kuolewa na mzee kama yule? Kwa hali ya kawaida watoto watakaozaliwa watakuwa yatima muda si mrefu. Masudi afurukute miaka 20 mbele tena na hio mzigo aliojibebesha!? Anawakati mgumu sana.
 
Back
Top Bottom