Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
hivi Masoud ana vitoto vya kike kweli??? sasa vinajisikiaje baba kuoa??/ na baba huwa rafiki ya vitoto vya kike! amevidhurumu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viagra zipo..atafanya cardiac test tu.Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Wanaume wengi wa 50+ wako vizur in bed kuliko vijana wa Sasa hawa Wala chips.Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Miaka 50 tu! kwa 35? wewe una tatizo la msingi haki ya nani!...tena hapo ndo mwake piga kitu mpaka nalia pooo!! mkewe mkubwa wa pili na tatu hao ndo wame choka mana watakuwa km 44 - 47 hivi!Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Inategemea kama mke mwenyewe mmoja hata chakumpa huna kila siku viporo vinazaliwa, mke wangu vumilia nimechoka leo asubuhi tutamalizia, ikifika asubuhi mbio unawahi kazini![emoji3][emoji3][emoji3] hao wanne utawapa nini ndoa sio kama kuimba kwaya!Safi sana. Ataishi maisha marefu sana. Kuwa na Mke mmoja bila hata mchepuko ni kujitafutia stress tu na kukaribisha magonjwa yasiyoambukiza kama pressure, kisukari, moyo kuwa mkubwa n.k
MKE mmoja anaongeza umaskini KWENYE jamii,Halafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Pesa unaweza kuwepo lakini sababu ya ndoa usiwe na uwezo nayoAnatumia fursa vizuri. Haya ndio mambo wanaume wanapaswa kufanya ukiwa na hela sio kulingishiana mijengo na magarii
Mwijaku anasura ya kuzeeka [emoji3]
Hakuna mwanaume aliwahi ridhika na uke mmoja,Ujinga tu hujaridhaka na watatu hata wanna hutaridhika, tamaa za binadam ni unlimited data ni kujidhibiti
Kwa ajili ya kutimiza mahitaji yake ya kimwiliHiyo team ya wake Ina faida gani
Kama huo uwanja unakushinda huo wa pili sikutafuta aibu tu!MKE mmoja Ni kujilemaza kimwili na kiakili,
Huwez ujua uwezo wako Kama unacheza mechi uwanja mmoja TU miaka yote.
Kuna ubaya gani Mange alivyo livalia njuga na app sometimes muheshimu privacy za watu.Wengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.
Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.
Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Hatimaye kapata mke wa nne
View attachment 2091463
View attachment 2091464
View attachment 2091465
View attachment 2091466
Tutake radhi mkuu.Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.