Karaoke
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 587
- 1,194
Mara nyingi kauli hizi zinatoka kwa watu ambao:Wanawake wanne msimamo utoke wapi kaka? Amini nakwambia, wahuni lazima wapite nao. Hawawezi kukaa kukusubiri wewe tu na ubwege wako
1: uwezo haumruhusu kuwa na wake wengi
2: Imani yake ya dini hairuhusu hivyo
3: wivu usiona na maana
Wapo wanawake waliokwenye ndoa na mume mmoja na bado wanazini
Mwanamke kuzini wakati yupo kwenye ndoa ni suala la tabia na sio kuolewa mitala