Masoud kipanya katuletea nyingine hii

Yaani hapo huyo kipara ni january makamba, mtu mzima yule pale nyuma anashangaa ambavyo mama kwanza kambeba halafu anaendelea kumpa maziwa anyonye huku akiwa mgongoni ndio yule mwenye akili timamu anashangaa sana mtu mzima kudekezwa kiasi hicho
 
Yaani hapo huyo kipara ni january makamba, mtu mzima yule pale nyuma anashangaa ambavyo mama kwanza kambeba halafu anaendelea kumpa maziwa anyonye huku akiwa mgongoni ndio yule mwenye akili timamu anashangaa sana mtu mzima kudekezwa kiasi hicho
🀣🀣🀣🀣 Masoud yupo intelligent sana
 
Salamu zangu kwenu wakuu

Tuendelee kuchanganua kama picha inavoeleza hapa chini
Kivyovyote vile for consistency Makamba hatoki halafu niwambie Makamba ni deep state na mtoto wa familia kabisa. Kizazi cha sasa hawajui kundi la Wanamtandao ndani ya CCM, Makamba hatoki na hakuna wa kumtoa, akihama basi ataenda mambo ya nje, tamisemi, wizara ya madini, wizara nyeti, mpaka sasa haiwezekani Makamba kuhama hio wizara.
 
Nothing is permanent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…