Masoud kipanya katuletea nyingine hii

Masoud kipanya katuletea nyingine hii

Yaani hapo huyo kipara ni january makamba, mtu mzima yule pale nyuma anashangaa ambavyo mama kwanza kambeba halafu anaendelea kumpa maziwa anyonye huku akiwa mgongoni ndio yule mwenye akili timamu anashangaa sana mtu mzima kudekezwa kiasi hicho
Huuu ni uchonganishi huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nzi wameshafunguliwa .unawafahamu nzi walivokuwa na tabia zao
IMG_0627.jpg
 
Wanaobebwa jinsi wanavodekezwa kwa mama
IMG_0628.jpg


alafu huyu mtoto kama kipara kuanzia mwenzi huu
 
Yaani hapo huyo kipara ni january makamba, mtu mzima yule pale nyuma anashangaa ambavyo mama kwanza kambeba halafu anaendelea kumpa maziwa anyonye huku akiwa mgongoni ndio yule mwenye akili timamu anashangaa sana mtu mzima kudekezwa kiasi hicho
Mi naona yule aliyebebwa ni Kama DJ, tena kapewa na chupa la maziwa ili asipige kelele ili Watu wafanye yao!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Inshu sio makamba kutoka atakuja mwingine atatoka cha muhimu bwawa la MJKN liki isha ndio itakuwa suruhisho la umeme waziri kwa upande wangu sija ona shida yake
Bwa kuisha sio hoja ya kua suruhisho la umeme hapa tanganyika, hoja ni kuwa na mvua za uhakika kujaza bwawa hilo.

Labda kama likijaa hayaishi, hapo sawaa
 
Hivi makamba aliwafanya nn jf?!!! Maana naona kuna watu wanasahau hadi kwenda kubadilisha pedi ili tu wapate muda mwingi wa kumsema na kumtukana makamba.
 
Asali yote imelambwa na akina Makamba, nyuki tumebaki tunashangaa tu; mama aache kumbeba Makamba, ni mzigo!!
 
Bwa kuisha sio hoja ya kua suruhisho la umeme hapa tanganyika, hoja ni kuwa na mvua za uhakika kujaza bwawa hilo.

Labda kama likijaa hayaishi, hapo sawaa
Kujaa litajaaa, kikubwa tuwa na mchanganyiko wa vyanzo, ili kipindi cha ukame tunatumia gesi zaidi
 
Back
Top Bottom