mbogo_2016
New Member
- Mar 7, 2016
- 1
- 1
Hahaha,usiogope ni kweli mkuuHii siku ya leo vema kuwa makini sana na habari zozote mpya
Sio ya wajinga, wasikilize live now
So it is purposely doneHahaha,usiogope ni kweli mkuu
Ni mwenye kanzuKama kweli wamefanya hivyo kama siku ya wajinga, wataudhi sana wasikilizaji wao...mimi nawaangalia hapa wako live, hivi huyu masudi kipanya ndiyo huyu kijana wa kiume mnene?
Wale ndo basi tena!wako live kweli ila hatujui hao wengine wameondoka au wamepewa majukumu mengine. mpaka baadae...
Mnene ni fred waa, masudi mwenye kanzu, fina mango mwenye nywele za brown na babra hassan ndie huyo aliebakiKama kweli wamefanya hivyo kama siku ya wajinga, wataudhi sana wasikilizaji wao...mimi nawaangalia hapa wako live, hivi huyu masudi kipanya ndiyo huyu kijana wa kiume mnene?
Mnene ni fred waa, masudi mwenye kanzu, fina mango mwenye nywele za brown na babra hassan ndie huyo aliebaki
tupia picha mkuuMnene ni fred waa, masudi mwenye kanzu, fina mango mwenye nywele za brown na babra hassan ndie huyo aliebaki
Ni mwenye kanzu