mbogo_2016
New Member
- Mar 7, 2016
- 1
- 1
Njaaa kweli, ili iwaje?nini anataka kutuaminisha watanzania? Mnakumbuka sababu za hawa jamaa kusitishwa?Anaejiita boss wao alisemaje? Na leo anasemaje nini? Usipokuwa makini dunia hii utafanywa kiraka kila siku..! Sasa taswira gani anatuonesha?Nini anataka kutuamisnisha, anainua vipaji ?