Ni kweli wamerudi na wako hewani mpaka sasando mambo ya siku ya wajinga au?
...weeeh acha kukalili na hizo alili zako za kindezindezi.... kwani chadema na lowassa ilikuaje? mbona hukuja hapa kutoa mapovu zaidi ya kurukaruka na kuzungusha mikono....Njaaa kweli, ili iwaje?nini anataka kutuaminisha watanzania? Mnakumbuka sababu za hawa jamaa kusitishwa?Anaejiita boss wao alisemaje? Na leo anasemaje nini? Usipokuwa makini dunia hii utafanywa kiraka kila siku..! Sasa taswira gani anatuonesha?Nini anataka kutuamisnisha, anainua vipaji ?
Fina katoka abroad ipi mkuu?! sio kila alie olewa na mzungu yuko nje ya Tanzania. fina anapiga mzigo kwenye kampuni yake hapo Dar.Hawa watu niliwamisi sana karibuni sana power breakfast watu wanaweza kusema hili na lile lakini nyie mmeletwa kwa mikataba minono Fina from abroard na Kipanya from Private owned company pigen hela
Hawezi acha ni kazi yake pia ni hobi yake, toka enzi zilee bado yupo Clouds hadi kesho.kipanya sijui ataacha katun
...we kweli kituko... kwahiyo ndo unataka kudanganya watu kuwa radio kaitoa kwenye u dj? tehtehteh kamuulize yule mama wa maisha basement ni wapi huyo majizo kapata mtaji ukiambatana na minjingu juu yake... watu wanaishi kwa kula vidonge kisa pesa alafu we ndo inakuja kuwashauri wengine wafate njia kama hizo?.... jinga kwelikweli...Kama wamerudi tena nitawashangaa,hawawezi kusonga mbele?
Mmiliki wa efm alikuwa DJ wa radio Leo anamiliki radio.
wamerudi wenyewe au wametafutwa! unajua wamesaini mikataba ya sh ngapi? au unalopoka tu...Njaa haina huruma... wamerudi wenyewe!!
Watakula wapi??
Pengine hakujua jamani..!...we kweli kituko... kwahiyo ndo unataka kudanganya watu kuwa radio kaitoa kwenye u dj? tehtehteh kamuulize yule mama wa maisha basement ni wapi huyo majizo kapata mtaji ukiambatana na minjingu juu yake... watu wanaishi kwa kula vidonge kisa pesa alafu we ndo inakuja kuwashauri wengine wafate njia kama hizo?.... jinga kwelikweli...
Hiyo mfupi ndo babura nini?Kipanya na Fina wamerudishwa rasmi clouds fm katika kipindi cha power breakfast. Wameeanza kazi leo na mwenye access ya clouds fm anaweza kuwasikiliza.
Hongera Ruge.
View attachment 333932
Mkuu najua pale watu wanafanya as part time baada ya kipindi watu wanapiga deals zao nyingine sio ajira kama nyingine...yaani mtu na akili zake atoke kujiajiri arudi kuajiriwa,kama sababu ni kupiga picha,hiyo picha haina uthibitisho wowote kuwa kweli wameajiriwa.Acheni ujinga.!