Masoud Kipanya na kifo cha imani ya msalaba

Masoud Kipanya na kifo cha imani ya msalaba

Sisi tuliopitia kwenye uchoraji ni wazi hapo hakuna mambo ya Dini bali ni mambo ya miradi ya Mwendokasi.
Kwa nini msalaba? Ni kwa sababu mradi bado haujazikwa ila ndio unaelekea huko, hivyo katika kiwakilishi cha msalaba kimetumika ili kuleta uwelewa wa kaburi na maziko, kwenye dini nyingine hususan Uislam hakuna kiwakilishi kinachokaa juu ya kaburi na ambacho kinaeleweka kabla ya mazishi, kaburi la Kiislam utalijua kwa kikuta chake, na kikuta kikiwa nje ni tofari hivyo isingeleta maana ya mchoraji.
 
Huo msalaba unaashiria maziko,kifo au msiba kama ilivyo kawaida ya watanzania wengi hata wale wapagani, huo msalaba haumaanish ukristo ndiyo maama umeandikwa KUZ_ KUF, Masoud siyo mjingamjinga kama unavyojaribu kumfafanua. Ebu tafuta maana nyingine ya hilo Bus na siyo KKKT.
Nadhani anamaanisha timu yetu ya Taifa kule AFCON
 
Kila mtu na trafsiri yake,

NnachokionaNi kwamba anamaanisha mradi wa mwendokasi ushakufa na kuzikwa rasmi, bado TU kufukia dongo la mwisho.

Nb: zingatia rangi ya hilo Basi
 
Katuni ya leo Kipanya inaonyesha namna basi lililobeba imani ya MSSALABA LILIVYOZAMA KWENYE KORONGO. Hakuna majerua wala waokoaji katika eneo husika means wote waombolezaji na wafiwa wameangamia.

Katuni hii inatoka siku moja baada ya waumini wa KKKT kupigwa na kitu kizito kutoka kwa mkuu wa kanisa hilo wakati akisimikwa kazini

Je, imani ya Msalaba imeelekea kumwacha Mungu na kumwendea mwanadamu? Je, baadhi ya viongozi wake wanaamini Mungu yupo au wanaamini kwenye madaraka na mali?

Tutafakari

View attachment 2879312


Hakuna uhusiano wa ulichofafanua na kikaragosi cha Kipanya...

Zingatia rangi ya bus, kinachooneshwa hapo ni bus, hatma ni kifo na kuishia kaburini...

Bus bado halijazama kaburini wala kufukiwa, na msalaba kusimikwa hivyo linawezakuwa rescued, msalaba ukisimikwa ni hitimisho la kaburi kumeza kitu na kisiopolewe tena...
 
Jamani wakiristo ni watu flexible lakini unapowataja waislam kuwa wadini na wabaguzi huku ukimkataza Masudi kutukosoa wewe unakuwa na tofauti gani nao?? Masudi kipanya aheshimiwe kwa kuwa yeye ni mwandishi wa habari hana mipaka.
 
Kwamba KKKT kwa kukibali kuwa inamwalika Rais naye akazungumzia mambo ya kisiasa kanisani, ndio kusema KKT inaangamia, siyo?
 
Katuni ya leo Kipanya inaonyesha namna basi lililobeba imani ya MSSALABA LILIVYOZAMA KWENYE KORONGO. Hakuna majerua wala waokoaji katika eneo husika means wote waombolezaji na wafiwa wameangamia.

Katuni hii inatoka siku moja baada ya waumini wa KKKT kupigwa na kitu kizito kutoka kwa mkuu wa kanisa hilo wakati akisimikwa kazini

Je, imani ya Msalaba imeelekea kumwacha Mungu na kumwendea mwanadamu? Je, baadhi ya viongozi wake wanaamini Mungu yupo au wanaamini kwenye madaraka na mali?

Tutafakari

View attachment 2879312
Mungu vs Shetani, israel vs Kobaz. Daima Mungu atashinda.
 
Jamani wakiristo ni watu flexible lakini unapowataja waislam kuwa wadini na wabaguzi huku ukimkataza Masudi kutukosoa wewe unakuwa na tofauti gani nao?? Masudi kipanya aheshimiwe kwa kuwa yeye ni mwandishi wa habari hana mipaka.
Mwislamu.
 
Massoud wala hajamaanisha ukristo hapo! Massoud alichomaanisha ni Mradi wa mwendokasi.
Imejibiwa kulingana na mtoa post alivyotafsiri na ukweli unabaki kuwa mambo ya kikristo waachiwe wakristo muislam huna mamlaka ya kukisemea...sawa eeh
 
Masood amepenyeza UKWELI WA UNAFIKI wa viongozi wa KKKT katika kanisa badala ya kutetea haki ya waumini wao mbele ya viongozi wa kisiasa katika jamii inayowaumiza WAUMINI kiuchumi (hasa mfumuko wa bei) na mengine mengi .
 
Katuni ya leo Kipanya inaonyesha namna basi lililobeba imani ya MSSALABA LILIVYOZAMA KWENYE KORONGO. Hakuna majerua wala waokoaji katika eneo husika means wote waombolezaji na wafiwa wameangamia.

Katuni hii inatoka siku moja baada ya waumini wa KKKT kupigwa na kitu kizito kutoka kwa mkuu wa kanisa hilo wakati akisimikwa kazini

Je, imani ya Msalaba imeelekea kumwacha Mungu na kumwendea mwanadamu? Je, baadhi ya viongozi wake wanaamini Mungu yupo au wanaamini kwenye madaraka na mali?

Tutafakari

View attachment 2879312
Dogo Masoud ni gaidi a.k.a. Muislam, hivi kwa mfano angeweka kitabu cha Qur'an badala ya msalaba....magaidi wenzake wangesemaje juu ya hili?
 
Katuni ya leo Kipanya inaonyesha namna basi lililobeba imani ya MSALABA LILIVYOZAMA KWENYE KORONGO. Hakuna majerua wala waokoaji katika eneo husika means wote waombolezaji na wafiwa wameangamia.

Katuni hii inatoka siku moja baada ya waumini wa KKKT kupigwa na kitu kizito kutoka kwa mkuu wa kanisa hilo wakati akisimikwa kazini

Je, imani ya Msalaba imeelekea kumwacha Mungu na kumwendea mwanadamu? Je, baadhi ya viongozi wake wanaamini Mungu yupo au wanaamini kwenye madaraka na mali?

Tutafakari

View attachment 2879312
Masoud kamwe hajamaanisha hicho ulichokiongea.
 
Back
Top Bottom