Masoud Kipanya na kifo cha imani ya msalaba

Nilikuwa namuheshimu sana masudi.Kwahili ameteleza sana.Japo Mimi siyo mdini ila Kwa katuni hiyo ingekuwa ni upande wa pili kwenye makobazi basi wangeshajaa jazma kama kawaida yao nakumtafuta mchora katuni Kwaajili ya kumuadabisha.Ukristo kwenye level ya uvumilivu wapo mbali sana.
 
Huwa nawashangaa wanaomuona huyu jamaa ni genius, ni mnafiki fulani tu na mdini.
 
Umechelewa sana kumfahamu.
 
Dogo Masoud ni gaidi a.k.a. Muislam, hivi kwa mfano angeweka kitabu cha Qur'an badala ya msalaba....magaidi wenzake wangesemaje juu ya hili?
Mkuu unafikiria kutumia kichwa au makalio? Sasa qur an na mwendokasi vinahusiana vipi? Wakristo wa zamani mulikuwa wasomi ila wa siku hizi Duh!
 
Zaman Wakristo walikuwa wasomi ila siku hizi wengi wao vilaza hata muda wa kufikiria kitu hawana wanasubr chadema waokote ajenda nao wajiunge humo humo inakuwa ajenda ya kanisa, maan wenye akili washafahamu anacho maanisha masoud ila vilaza kama wewe chuki za udin na uchadema uliokujaa unaleta mambo ya kanisa kweny vitu haviendani kabisa 😁😁
 
Sidhani kama masudi kaandika KKKT maana naoma hayo maneno sio uandishi wake kwenye katumi naamini anajielewa hawezi fanya jambo kama hilo alieleta uzi ndio atuambie hiyo kkkt kaiweka yeye au kaikuta ila namtetea masudi sio zwazwa kama hivyo
 
Hebu tafakari nje ya box mimi ni mkristo ila sioni shida kwa masudi naona shida kwa alieleta mada chunguza hiyo kkkt imeandikwaje
 
Msalaba ni ukristo?
 
Sema wakiristo wa tanzania kwa kulalamika mweeeh[emoji16]
 
Kwanza katuni halisi haina KKKT.
IMEONGEZWA KIJANJA..
 
Imejibiwa kulingana na mtoa post alivyotafsiri na ukweli unabaki kuwa mambo ya kikristo waachiwe wakristo muislam huna mamlaka ya kukisemea...sawa eeh
Mambo yapi ya kikristo ambayo waachiwe wakristo maana bila hivyo mnaweza hadi kutaka watangazaji wa habari wawe wakristo pia kutangaza habari zenge kuhusiana na wakristo.
 
Dogo Masoud ni gaidi a.k.a. Muislam, hivi kwa mfano angeweka kitabu cha Qur'an badala ya msalaba....magaidi wenzake wangesemaje juu ya hili?
Duh kwani makaburi ya waislamu huwa wanaweka kitabu cha Qur'an au siku hizi kitabu cha Qur'an kimekuwa alama ya kaburi?
 
Wakristo wenye kushabikia vita ya Gaza ndio unasema wana uvumilivu?
 

You are a slave
 
Wagalatia wanalalama kipumbavu humu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…