Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Nachokelwa kimoja TU

Kubebeshwa vilipuzi kisa kuona mbali
Ndivyo mnavyodanganywa.

Waislam ni watu wa amani.

Muislam haruhusiwi kabisa kuanza kumpiga mtu, anaruhusiwa kujitetea tu.

Usimchokoze tu, akipigwa la kushoto hageuzi la kulia, anakurudishia kwa kishindo.
 
Ila hamna aliyemkataza kusoma.... hahahahaaaa kama hakusoma sana maana yake elimu hakuiweza

Neno zuri la kumuelezea ni kwamba ni 'Street smart'
Kusoma siyo lazima ndani kuta nne (boksi), unaweza kwenda shule usielimike.

Kuna njia nyingi sana za kuelimika. Kama hujaelimika huwezi kuzielewa, hata usome vipi.
 
Ndivyo mnavyodanganywa.

Waislam ni watu wa amani.

Muislam haruhusiwi kabisa kuanza kumpiga mtu, anaruhusiwa kujitetea tu.

Usimchokoze tu, akipigwa la kushoto hageuzi la kulia, anakurudishia kwa kishindo.
Kiboko anahakikisha nae anakufa wakati wa kurudisha Majibu
 
Achana na ile kirikuu yake [emoji3][emoji3], jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.

Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.

Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.

Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.

Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.

Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.

Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.

Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.

Alamsiki JF.
30 bn+ inajumuisha na upigaji.
 
Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.

Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwezo wake wa kufikiri na kuuliza maswali na kuhoji vitu ni mkubwa Sana..TATIZO LAKE MOJA TU nalo ni UDINI ULIOPITILIZA..Udini wake lazima uuangalie Kwa jicho Pana.Fanya utafiti watu anaowaita etc .utaona Kuna vitu lazima aite mtu wa dini yake na kumsifia Sana tofauti na mtu wa dini nyingine .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uwezo wake wa kufikiri na kuuliza maswali na kuhoji vitu ni mkubwa Sana..TATIZO LAKE MOJA TU nalo ni UDINI ULIOPITILIZA..Udini wake lazima uuangalie Kwa jicho Pana.Fanya utafiti watu anaowaita etc .utaona Kuna vitu lazima aite mtu wa dini yake na kumsifia Sana tofauti na mtu wa dini nyingine .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
KP km ana udini siopoa angemuiga boss wake Joseph"Big Joe"hana mbambamba . Cza nae yuko vizuri hata Fatuma "Feffy"
 
Achana na ile kirikuu yake [emoji3][emoji3], jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.

Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.

Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.

Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.

Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.

Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.

Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.

Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.

Alamsiki JF.

Jamaa yuko vzr Sana hata msaha wake Ni wa kitaalum Sana

Namkubali sna hyo bwna hkn mtu anaweza kumfikia masudi kwa kuhoji vitu vya msingi
 
Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.

Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wew na uislamu
 
Back
Top Bottom