ginyisi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2023
- 287
- 465
Acha wivu broo, fanya nawewe tukusifieIla hamna aliyemkataza kusoma.... hahahahaaaa kama hakusoma sana maana yake elimu hakuiweza
Neno zuri la kumuelezea ni kwamba ni 'Street smart'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu broo, fanya nawewe tukusifieIla hamna aliyemkataza kusoma.... hahahahaaaa kama hakusoma sana maana yake elimu hakuiweza
Neno zuri la kumuelezea ni kwamba ni 'Street smart'
Ndivyo mnavyodanganywa.Nachokelwa kimoja TU
Kubebeshwa vilipuzi kisa kuona mbali
Kusoma siyo lazima ndani kuta nne (boksi), unaweza kwenda shule usielimike.Ila hamna aliyemkataza kusoma.... hahahahaaaa kama hakusoma sana maana yake elimu hakuiweza
Neno zuri la kumuelezea ni kwamba ni 'Street smart'
Kiboko anahakikisha nae anakufa wakati wa kurudisha MajibuNdivyo mnavyodanganywa.
Waislam ni watu wa amani.
Muislam haruhusiwi kabisa kuanza kumpiga mtu, anaruhusiwa kujitetea tu.
Usimchokoze tu, akipigwa la kushoto hageuzi la kulia, anakurudishia kwa kishindo.
wanafundisha kutoridhika..husuda..na malalamikoVijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
30 bn+ inajumuisha na upigaji.Achana na ile kirikuu yake [emoji3][emoji3], jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.
Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.
Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.
Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.
Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.
Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.
Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.
Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.
Alamsiki JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
You don't want peace [emoji23][emoji23]Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Ushaanza mambo yako ya udiniVijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Islam is peace.
KP km ana udini siopoa angemuiga boss wake Joseph"Big Joe"hana mbambamba . Cza nae yuko vizuri hata Fatuma "Feffy"Uwezo wake wa kufikiri na kuuliza maswali na kuhoji vitu ni mkubwa Sana..TATIZO LAKE MOJA TU nalo ni UDINI ULIOPITILIZA..Udini wake lazima uuangalie Kwa jicho Pana.Fanya utafiti watu anaowaita etc .utaona Kuna vitu lazima aite mtu wa dini yake na kumsifia Sana tofauti na mtu wa dini nyingine .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Kwani wapi walikatazwa wasifanye?Kwanini wanafanya kazi kwa JOSEPH Kussaga?
Aiseeeee [emoji23][emoji848]Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Hii katuni ilipaswa kumwamsha Samia usingizini
Wewe ni furushi hakika, madrasa ina nini🤣🤣🤣🤣Vijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Jamaa yuko vzr Sana hata msaha wake Ni wa kitaalum SanaAchana na ile kirikuu yake [emoji3][emoji3], jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu.
Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’.
Huyu mwamba ukiachilia mbali zile katuni zake zenye kuleta ujumbe kitabu kwa kuzitazama na maneno machache.
Awapo radioni huwa yupo mbele ya muda, hakuna mada itapita bila kuichagiza kwa maswali magumu.
Nimeamua kuandika baada ya kumsikia leo asubuhi kuhusu NHIF na toto afya kuwa wanapokea michango ya 5bn lakini wao walitumia zaidi 30bn.
Alitania hivi ni kweli asprin, paracetamol, tetracyline ndizo zilitumia 30bn+. Kesho wataendelea na maswali juu ya NHIF na hayo matumizi.
Hiyo ni moja tu, lakini ndo yamekuwa maisha yake kutoa maneno mafupi yenye kuhoji kwa sauti.
Hakika KP wewe ni mtu bingwa sana. Mungu akupe maisha marefu.
Alamsiki JF.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wew na uislamuVijana wa madrassa hao lazima uwakubali tu.
Hao wanaanza chuo kabla ya shule, na madrassa hawafundishi kufeli hata siku moja.
Hakiyamungu huu mjadala umeuaribu faiza kwa kuleta Mambo ya uislamu hapaIslam is peace.