Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Powerbreakfast bila Masoud Kipanya ni sawa na maharagwe yenye nazi ambayo hayajawekwa chumvi kabisa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wew na uislamu
Anatumia nguvu kuuubwa kuueneza Uislam, badala ya Uislam ujieneze vizuri kupitia matendo na shughuda nzuri za Waislam wenyewe ktk maisha ya kila siku.
 
nawakumbusha waliosahau au kuwajulisha wasiojua

Baba yake Mzazi ndie aliekuwa Dereva wa Rais Ally Hassan Mwinyi kwa miaka yake yote ya U Rais

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ilikuwaje wale jamaa wa Mtakatifu Petero hawakumchukua!!??
Ukiona katuni zake zilivyo fikirishi,unaamini kabisa huyu ni mtu anayefikiri kwa sana.

Katuni zake ni "very analitycal", angeweza kuisaidia nnchi pakubwa sana kama angetumiwa vyema.

Bonge la analyst.

Kongole kwa Masoud Kipanya na Mungu ambariki sana.
 
Ilikuwaje wale jamaa wa Mtakatifu Petero hawakumchukua!!??
Ukiona katuni zake zilivyo fikirishi,unaamini kabisa huyu ni mtu anayefikiri kwa sana.

Katuni zake ni "very analitycal", angeweza kuisaidia nnchi pakubwa sana kama angetumiwa vyema.

Bonge la analyst.

Kongole kwa Masoud Kipanya na Mungu ambariki sana.
zamani hadi sasa huwezi kuwa Dereva wa Rais bila ya kuwa wa St Peters


zamani hadi sasa una nafasi kubwa ya kupendekeza Mtoto wako mmoja ambae yuko vyema kujiunga nawe

Baba Mkwe wa 'Mtoto wa Mkulima' alikuwa ndio Fundi Mkuu wa Magari ya Jumba jeupe na akasaidia kumsajili Mkwewe mapema tu baada ya kutoka chuo 1974 akapelekwa Songea kwa muda kidogo akaletwa 'madhabahuni '


Siku ya Kiyama wakati siri zote zitakapofunguliwa ndio tutakuwa tunashangaa wakati orodha ya wana Kitengo itapokuwa inahusisha Ma padre, Makamanda wa Katiba mpya, Ma Sheikh, Wanaharakati, wana michezo n.k


Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
zamani hadi sasa huwezi kuwa Dereva wa Rais bila ya kuwa wa St Peters


zamani hadi sasa una nafasi kubwa ya kupendekeza Mtoto wako mmoja ambae yuko vyema kujiunga nawe

Baba Mkwe wa 'Mtoto wa Mkulima' alikuwa ndio Fundi Mkuu wa Magari ya Jumba jeupe na akasaidia kumsajili Mkwewe mapema tu baada ya kutoka chuo 1974 akapelekwa Songea kwa muda kidogo akaletwa 'madhabahuni '


Siku ya Kiyama wakati siri zote zitakapofunguliwa ndio tutakuwa tunashangaa wakati orodha ya wana Kitengo itapokuwa inahusisha Ma padre, Makamanda wa Katiba mpya, Ma Sheikh, Wanaharakati, wana michezo n.k


Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app

Naona kama umefungua code [emoji23]
 
zamani hadi sasa huwezi kuwa Dereva wa Rais bila ya kuwa wa St Peters


zamani hadi sasa una nafasi kubwa ya kupendekeza Mtoto wako mmoja ambae yuko vyema kujiunga nawe

Baba Mkwe wa 'Mtoto wa Mkulima' alikuwa ndio Fundi Mkuu wa Magari ya Jumba jeupe na akasaidia kumsajili Mkwewe mapema tu baada ya kutoka chuo 1974 akapelekwa Songea kwa muda kidogo akaletwa 'madhabahuni '


Siku ya Kiyama wakati siri zote zitakapofunguliwa ndio tutakuwa tunashangaa wakati orodha ya wana Kitengo itapokuwa inahusisha Ma padre, Makamanda wa Katiba mpya, Ma Sheikh, Wanaharakati, wana michezo n.k


Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Recruitment ya kitengo enzi za Nyerere ilikuwa njema sana.
Watu walifuatiliwa kuanzia nyumbani,anapocheza,shuleni (kuanzia msingi).
 
Recruitment ya kitengo enzi za Nyerere ilikuwa njema sana.
Watu walifuatiliwa kuanzia nyumbani,anapocheza,shuleni (kuanzia msingi).
Enzi hizo kazi zilikuwa Wito sio fursa

kuna Mwamba na Diploma yake ya IDM Mzumbe alipangwa soko la Kariakoo kule chini (shimoni) akawa kama Mbeba mizigo ili kuwanasa Askari wa Halmashauri wanaopokea rushwa ya bidhaa zinazoingia na kupakuwa mizigo bila ya kulipa ushuru, walikuwa wanamtumia yeye kupeleka Maagizo na maelekezo ya Rushwa na kusambaza migao bila ya kujua wamekanyaga Gridi ya Taifa…miaka kadhaa hawakuwahi kumjua wala jamaa kutia mbwembwe za kishule shule

akazuga kapata kifua kikuu kwa mizigo mizito anarudi kijijini kumbe kabadilishiwa Majukumu na kuna siku tunastuka ndio Msaidizi wa Advocate Mahfudh aliekuwa Mkuu wa Anti corruption Squard miaka ya Julius

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu chake, mtu aliyetokea madrassa anakuwa na muono mrefu na mpana zaidi ya aliyekwenda shule pekee.
Kama Mwijaku. Hakafu machoko wengi wanaojitangaza ni maustadhi na wamepita madrassa
 
Ofcourse yuko vyema sana Kipanya .
By the way naloweza kukumbuka ni pale alipo nipa Da'awa baada ya kunitembelea lupango .

Itoshe kusema yuko smart ila msilolijua ni sawa na usiku wa kiza .

Sheikh Masoud.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha "Hamis Kichaa" aliyekuwa anapatikana UDSM - hasa pale palipokuwa na kontena.
Nilikuja muona Mbeya akiwa katinga suti akiwa na RSO wa Mbeya,miaka ya mwanzo ya 1990s.
Enzi hizo kazi zilikuwa Wito sio fursa

kuna Mwamba na Diploma yake ya IDM Mzumbe alipangwa soko la Kariakoo kule chini (shimoni) akawa kama Mbeba mizigo ili kuwanasa Askari wa Halmashauri wanaopokea rushwa ya bidhaa zinazoingia na kupakuwa mizigo bila ya kulipa ushuru, walikuwa wanamtumia yeye kupeleka Maagizo na maelekezo ya Rushwa na kusambaza migao bila ya kujua wamekanyaga Gridi ya Taifa…miaka kadhaa hawakuwahi kumjua wala jamaa kutia mbwembwe za kishule shule

akazuga kapata kifua kikuu kwa mizigo mizito anarudi kijijini kumbe kabadilishiwa Majukumu na kuna siku tunastuka ndio Msaidizi wa Advocate Mahfudh aliekuwa Mkuu wa Anti corruption Squard miaka ya Julius

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Ukichunguza kazi zake katika awamu hizi mbili unamuona huyu bwana nae mchumia tumbo...awamu ya magu sio siri imenifumbua mambo mengi sana watu wengi sana sasa hivi tunaishi nao kwa akili sana.
 
Back
Top Bottom