Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Masoud Kipanya ni mtu bingwa sana, ‘independent’ na mfano wa kuigwa

Ila hamna aliyemkataza kusoma.... hahahahaaaa kama hakusoma sana maana yake elimu hakuiweza

Neno zuri la kumuelezea ni kwamba ni 'Street smart'
na ukute kama angesoma sana pengine elimu ingem-limit asitumie vipawa vyake kwa kiwango cha juu kama hivi sasa.

tumeona mara kadhaa baadhi ya wanaojiita wasomi wakiwa watumwa wa mfumo, kila kitu wao ni kusifia tu na kuunga mkono hata pale pasipostahili kufanya hivyo.
 
Katika vipindi vyote asbh Kwangu power breakfast number I akikutana Siza na Kp asee majamaa Yana akili mpaka inakera wanachambua na kureason mpaka unashangaa wanahoji masuali Kwa angle nyengine uwezo wao wa kufikiri ni mkubwa sana .....
Hyo combination ina balaa..wanahoji mambo yenyr mantiki sana
Na wana utani mwingi sana
 
na ukute kama angesoma sana pengine elimu ingem-limit asitumie vipawa vyake kwa kiwango cha juu kama hivi sasa.

tumeona mara kadhaa baadhi ya wanaojiita wasomi wakiwa watumwa wa mfumo, kila kitu wao ni kusifia tu na kuunga mkono hata pale pasipostahili kufanya hivyo.
Akili kubwa kama king msukuma
 
Bahati mbaya watu wa aina yake kwa nchi zetu, huishia kuwa wa kawaida wasiotumika kwenye mchango wa taifa...
Mtu pekee ambae hata magufuli alikubali kukosolewa naee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Japo nae kuna siku alifinywaa nasikiaa
 
Uwezo wake wa kufikiri na kuuliza maswali na kuhoji vitu ni mkubwa Sana..TATIZO LAKE MOJA TU nalo ni UDINI ULIOPITILIZA..Udini wake lazima uuangalie Kwa jicho Pana.Fanya utafiti watu anaowaita etc .utaona Kuna vitu lazima aite mtu wa dini yake na kumsifia Sana tofauti na mtu wa dini nyingine .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mfano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom