Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Yani kwamba wanawaza kwa kutumia vya kukalia au akili picha leo imenikataa🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga? Kibonzo hujakielewa halafu unakuja na hitisho la kicameruni kabisa. Huko CCM naona kuna kiwanda cha kuzalisha vilaza,Kwahiyo mkuu masoud kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Kwa hiyo hapo unaona imechorwa chadema tu? Hamna akili kabisa huko LumumbaAkimchora na kumnanga Dk. Samia mnampa sifa na akili.
Akiwachora nyie..kelele na adui.
Sawa mbumbumbu Mwenzangu.Kwa hiyo hapo unaona imechorwa chadema tu? Hamna akili kabisa huko Lumumba
Masoud Kipanya Nimemkuta mirembe muda huu, huko sijajua kaenda kutibiwa au kumsalimia mgonjwaKwahiyo mkuu masoud kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Unafuatisha mdundo wa mleta mada, wote ndiyo wale wale tuSawa mbumbumbu Mwenzangu.
Ila sijataja ChaDemA hapo
Kwamba unajizima data kuwa huelewi?Hapo pia Kuna rangi ya kijani (ccm), hata hivyo tafsir ya kibonzo huijui na mwandiko wako unaonekana wewe nimwana.LUMUMBA
Manake mto ndio kichwa ulala,but mdau hana kichwa... hivyo akilala usiku kucha analalia kitanda cha kijani...sasa sijui akiamka kichwa kinaota au la... all in all... situation iko awkward kwakweli.Shuka, godoro na kitanda cha ccm, ila mto unamilikiwa na cdm, ACT na vyama vingine.
Jamaa anataka kulala anashindwa, kabaki anajihinamia chini huku amekaa kwa sababu kitanda cha watu.
Hii ni katuni ya siku nyingi sana ya Kipanya (ilitoka 21/5/2020 kwenye gazeti la mwananchi) sio ya mwaka huu wala mwaka jana, na wala haina uhusiano wowote na hiki kinachoendelea sasa hapa nchi kisiasa. Ni katuni ya kipindi cha Jiwe.Kwahiyo mkuu masoud kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Awkward kwa kweli, kesi ya ugaidi imem paralyse Mwenyekiti amekuwa mtumwa.Manake mto ndio kichwa ulala,but mdau hana kichwa... hivyo akilala usiku kucha analalia kitanda cha kijani...sasa sijui akiamka kichwa kinaota au la... all in all... situation iko awkward kwakweli.
unachosema ni sahihi Kaamanisha CHADEMA ni KUPE na wachumia tumbo; na hii ni kweli kabisaKwahiyo mkuu masoud kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Yani wewe dada hata mumeo akishindwa kusimamisha oli akupande utailamu sukuma gangSukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Walamba asali gang, mmefurahi sana namna mnavyo lamba asali, leo umelamba kiasi ganiSukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Mbona unapanick Sasa masud kipanya lini amekuwa mhutu chawa wa gaid hoiSukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Ni kipi kinachomfanya huyo mtu awe wa CHADEMA, rangi ya suruali yake?Maana yake kwa sasa chadema haijui isimamaie nini. Ibaki na ajenda zake za kichadema au ibebe na ajenda za ccm. Ndio maana hapo unaona ana kopo la rangi ya kijani na hizo nyingine.
Sema mmekutana Mirembe kwani wewe ulikwenda kufanya nini?Masoud Kipanya Nimemkuta mirembe muda huu, huko sijajua kaenda kutibiwa au kumsalimia mgonjwa