Masoud Kipanya umetukosea sana sisi Wanachadema

Masoud Kipanya umetukosea sana sisi Wanachadema

Hakika Mkuu, hapo kibonzo kinachagiza kuhusu uendeshaji wa shughuli za kisiasa nchini zilivyokinzana na matakwa ya katiba na sheria. Uwepo wa sheria mama yaani katiba, ni kama kichwa, ili kusimamia haki, uhuru, maadili ya vyama vya kisiasa kuendesha shughuli zao.

Mtu asiyekuwa na kichwa akiwa ameketi kitandani ni kasoro kubwa ya kimfumo kwa kulinganisha na haki za kikatiba huku rangi zilizopo kitandani, makopo ya rangi na ukutani ni chagizo kuhusu uwepo wa vyama tofauti vya kisiasa nchini vyenye sifa na nguvu tofauti.
Nakubaliana na wewe mkuu.

Na hii inakuja baada ya kuona au kutodai haki kwa uoga wetu, tukihisi rais ndiyo mwenye kutoa haki kama hisani wakati katiba yetu inasema hakuna aliye juu kisheria.
 
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?

Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.

View attachment 2470760
Kwani chadema mnafikiria kweli?imagine chama kinaruhusu wahuni kushinda mitandaoni kutukana tu wakiongozwa na Mdude na yule jamaa anaefugwa kule CANADA
 
Mbona badala ya kichwa km kaweka m.t.ko?
hii picha inatafsiri nyingi sana matako yanaanza kisha tumbo lakini kama haitoshi kitanda alizokalia hakimtoshi kwa kuwa miguu yake haiwezi shuka chini mto anao kichwa hana lakini anamekaa anafikiri kwa kutmbo lake lililokubwa akiwa hajui cha kufanya huku akilalia shuka pendwa za ccm.
 
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?

Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.

View attachment 2470760
Chumba chote ni ofisi ya chadema.
DJ anaona rangi imefifia anataka kuing'arisha at the same time amelewa asali.
Sasa anadhani akichanganya hizirangi ndio chumba kita ng'aa vizuri kumbe ndio anazidikukichafua.

Alafu kwa bahati mbaya fikra zote zimemezwa na asali, kwahiyo rangi iliyo mpa asali ndio anayo ikumbuka sana.

Kama Mimi muongo angalia hapo rangi gani imepakwa sana.
 
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?

Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.

View attachment 2470760
Sijaona kosa hapo, alipomchora hayati JPM ana kichwa kikubwa mlikuwa wa kwanza kucheka kwa sauti za juu.

Mkiwa watu wazima pokeeni hii dozi na muinywe vizuri tu.
 
Back
Top Bottom