UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Watu kama akina Sagai galgano wa hapa jf anadhani wana vichwa kweli? Hata kama wanavyo basi vimejaa matope tu.Mtu kama Maranja Masese unadhani ana kichwa? +Mdude?
Kichwa Cha Mbowe na Mnyika vimehifadhiwa pale Lumumba
Kwahiyo mkuu masoud kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Kwaiyo unamaanisha Masood kipanya ni sukuma gengeSukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Jamaa ni mtalamu mzuri sana wa fasihi. Hapo kuna chumba kilichokwishaharibika, fundi anajaribu kukirembesha tena upya lakini fundi mwenyewe hana kichwa, kwa hiyo hajui analofanya.Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Hakika Mkuu, hapo kibonzo kinachagiza kuhusu uendeshaji wa shughuli za kisiasa nchini zilivyokinzana na matakwa ya katiba na sheria. Uwepo wa sheria mama yaani katiba, ni kama kichwa, ili kusimamia haki, uhuru, maadili ya vyama vya kisiasa kuendesha shughuli zao.Shuka, godoro na kitanda cha ccm, ila mto unamilikiwa na cdm, ACT na vyama vingine.
Jamaa anataka kulala anashindwa, kabaki anajihinamia chini huku amekaa kwa sababu kitanda cha watu.
Jinsi ulivyotumie neno SIE mara nyingi, naona kabisa wewe siyo mwana CDMKwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
chadema chadema chadema .........Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
Mseto unanukia hapo. Yupo hadi ACT hapo.Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa 😃 😀 😄 😁 🤣! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Kwa hiyo unahisi mama kafanya maridhiano kwa matakwa yake mwenyewe?Unadhani mikopo anayopokea kutoka ughaibuni haina masharti sio?hapo wa kupigiwa makofi Ni mabeberu ndio wamefanikisha kuruhusiwa Tena kwa mikutano ya kisiasa na sio mama....Sukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Mleta mada ndiye sukuma gang kwani ameisoma katuni ya Kipanya kwa mtazamo wa kisukuma gangKwaiyo unamaanisha Masood kipanya ni sukuma genge
Hao mabeberu kwa kuweka mbinyo ili watu wasiuwawe ovyo na kubambikiwa kesi Mungu awabariki sana mabeberu.Kwa hiyo unahisi mama kafanya maridhiano kwa matakwa yake mwenyewe?Unadhani mikopo anayopokea kutoka ughaibuni haina masharti sio?hapo wa kupigiwa makofi Ni mabeberu ndio wamefanikisha kuruhusiwa Tena kwa mikutano ya kisiasa na sio mama....
Huyo ni masalia ya yule dhalim aliyeko motoniJinsi ulivyotumie neno SIE mara nyingi, naona kabisa wewe siyo mwana CDM
Mwandiko wake umeongea hayo..!!! Salia hiloHuyo ni masalia ya yule dhalim aliyeko motoni