Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kwamba Yule jamaa hajasubiri kiama Ni one way motoniSukuma Gang mumeumia sana Samia kufanya maridhiano na Wapinzani, mlitaka watu waendelee kuishi kwa uhasama kama alivyotaka yule mhutu wenu aliyepo motoni hivi sasa. Washenzi sana nyie warundi rudini kwenu mlikozoea kuchinjana
Kwmba unatulazimisha maoni yakoπ Yani umeandika Kama ndo masoud mwenyewe ,,Maana yake kwa sasa chadema haijui isimamaie nini. Ibaki na ajenda zake za kichadema au ibebe na ajenda za ccm. Ndio maana hapo unaona ana kopo la rangi ya kijani na hizo nyingine.
Huyo naye ni salia la yule dhalimKwmba unatulazimisha maoni yakoπ Yani umeandika Kama ndo masoud mwenyewe ,,
Nakubaliana na wewe mkuu.Hakika Mkuu, hapo kibonzo kinachagiza kuhusu uendeshaji wa shughuli za kisiasa nchini zilivyokinzana na matakwa ya katiba na sheria. Uwepo wa sheria mama yaani katiba, ni kama kichwa, ili kusimamia haki, uhuru, maadili ya vyama vya kisiasa kuendesha shughuli zao.
Mtu asiyekuwa na kichwa akiwa ameketi kitandani ni kasoro kubwa ya kimfumo kwa kulinganisha na haki za kikatiba huku rangi zilizopo kitandani, makopo ya rangi na ukutani ni chagizo kuhusu uwepo wa vyama tofauti vya kisiasa nchini vyenye sifa na nguvu tofauti.
Kwani chadema mnafikiria kweli?imagine chama kinaruhusu wahuni kushinda mitandaoni kutukana tu wakiongozwa na Mdude na yule jamaa anaefugwa kule CANADAKwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa π π π π π€£! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Umemsahau LEMAMtu kama Maranja Masese unadhani ana kichwa? +Mdude?
Kichwa Cha Mbowe na Mnyika vimehifadhiwa pale Lumumba
hii picha inatafsiri nyingi sana matako yanaanza kisha tumbo lakini kama haitoshi kitanda alizokalia hakimtoshi kwa kuwa miguu yake haiwezi shuka chini mto anao kichwa hana lakini anamekaa anafikiri kwa kutmbo lake lililokubwa akiwa hajui cha kufanya huku akilalia shuka pendwa za ccm.Mbona badala ya kichwa km kaweka m.t.ko?
Huo mto ni chadema wamepewa lakini vichwa hawanaView attachment 2471673
Ujaelewa .ccm iliyokosa kichwa imepata mto wa kulalia kitanda chake ili kuepuka na damu walizozimwaga kwa kujitandanza kama wao.
Chumba chote ni ofisi ya chadema.Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760
Sijaona kosa hapo, alipomchora hayati JPM ana kichwa kikubwa mlikuwa wa kwanza kucheka kwa sauti za juu.Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa π π π π π€£! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
View attachment 2470760