Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

unamrushia madongo tu bila kuelewa vile ametumia density kubwa ya busara zake kukuelimisha wewe mwenye huge hollow skull,
Pitia comment yake tena huenda ukaokota chochote.
 
unamrushia madongo tu bila kuelewa vile ametumia density kubwa ya busara zake kukuelimisha wewe mwenye huge hollow skull,
Pitia comment yake tena huenda ukaokota chochote.
nini sijapitia apo....ati kununua mikate mall..mara watu wanazunguka na makaratasi wakitafuta kazi nyuso zikionesha wako na njaa..mara kibera hakujengwi flats.kuna nlichowacha kwenye hiyo forest yake ya words but desert of points?hamna jipya nyinyi.daily mtakuja na story za vijiweni eti ooh wazungu ndio wako kwenye malls,,,mkiletewa picha mnaruka kibera na archives.kueni na msimamo
 
Hawajazibwa vinywa mbona tumekuja huko na tumesema sasa tunajenga ile barabara?
 
Sasa hii ndio amphitheater inayojengwa kama moja ya sehemu katika two rivers
 
Mkuu, unayo yasema ni kweli, wakenya wa humu JF kama wameajiriwa na serikali yao kuziba mashimo tunayo yatoboa kuhusu. Nimefika, nimeyaona, badala ya wao kujikubali, wanatumwagia mapicha ya kuungaunga. Nenda industrial area uone wavyokaa tuu wakisubiri vibarua.
 
Bongo nchi ya Viwanda thats our priorities siyo nchi ya Malls.....Then nimekusikia ukisema Wa Souz wamefanya nini vile...hebu nyoosha kiswahili chako kabla sijaendelea....
 
acheni kupiga kelele hivyo vitu tunavyokitambo sana sema sisi hatupigagi makelele wewe ndo inajengwa sisi tunayo tayari na ndio mall kubwa kuliko zote afrika masharika ipo mwanza Tanzania inaitwa rockcity mall
Tupia picha tafadhar
 
Bongo nchi ya Viwanda thats our priorities siyo nchi ya Malls.....Then nimekusikia ukisema Wa Souz wamefanya nini vile...hebu nyoosha kiswahili chake kabla sijaendelea....

tanzania ya viwanda katika hadithi za alfu lela ulela au!!! ebu kaka orodhesha viwanda unavyosema hapa JF tukague na kusherekea na wewe!!!!!

kando na bidhaa za kikenya watanzania wanazofurahia....bidhaa nyingine hii hapa!!!

kenyan made .....new edition on the way!!! pole kwa nukuu ya kizungu ambacho ni janga la taifa tanzania...





Mobius II.5






 
tanzania ya viwanda katika hadithi za alfu lela ulela au!!! ebu kaka orodhesha viwanda unavyosema hapa JF tukague na kusherekee pamoja!!!!!

kando na bidhaa za kikenya watanzania wanazofurahia....bidhaa nyingine hii hapa!!!

kenyan made .....new edition on the way!!! pole kwa nukuu kwa kizungu ambacho ni janga la taifa tanzania...




Mobius II.5






 
waltham Mpaka mzungu atoke zake huko na elimu aliyoipata huko, leo hii alivyo vileta ni mali ya wakenya. Kenya asili, acheni kujifanya wazungu weusi vumbuweni vyakenu. Wekeni label ya Made In Kenya ya kweli. Sio kitu kinachorwa Amsterdam, London, kesho ni mali ya Kenya. What da ......
 

tanzanians you are really dumb. mie huwa sitoi jibu kwa mawazo kama yako kwa sababu unafahamu ni upumbavu. google tanzania FDI inflows. hiyo pesa ni watanzania wanawekeza au ni hawa wazungu unaowataja. tanzania investment ni south africans watupu. na kwa taarifa yako Kenya ata mwekezaji atokee Mars na mawazo na hela anakumbatiwa na mikono miwili!!! kazi zinazotokea ni za wakenya au watz. naomba upunguze upumbavu kidogo.

sameer park mobius HQ along mombasa rd, nairobi where the magic happens.



 
Mali ya muzungu hiyo boss, wewe endelea kula githeri kubwa na sukuma wiki.
 
Uhanithi kama wako ndio unafanya waafrika kuwa omba omba mpaka leo. Everyday praising wazungu, there is no sense of ownership or pride. Trying to image yourself as a westerner doesn't make you superior among other black people. Ndio maana mnaweka picha kila siku kuonyesha malls, magari, barabara trying to convince us Kenya is one step ahead to become Europe or USA, what a load of bullshit. FDI can come from anywhere Nigeria, Congo and yes South Africa too. But in your air head, it has to come from a white man's land. Ni jibu usinijibu I don't give a monkey... Mimi nitakufukuzisha tuu.
 
Mkuu, these hollow skulled Kenyans won't comprehend these things . itawachukua muda kukuelewa.
 
Waltham husizijibu taakataka hizi!........hampo kwenye "level" moja!
Unawapa attention ambayo hawaistahili!
 
Waltham husizijibu taakataka hizi!........hampo kwenye "level" moja!
Unawapa attention ambayo hawaistahili!
Wakati mzungu ana tawala kenya, kulikuwa na level. Muzungu, muhindi, halfu mweusi. Mzungu kaondoka mweusi ka create level ya mweusi wingine. This slogan might help you "Cross over to Tanzania where everyone counts"
 

why is the TZ FDI not coming from everywhere kwa sasa! tatizo kubwa la mtz hasomi. ataishi kubovyo tu mitandaoni. Do you know no. 1 tanzania FDI source!!. Go find that, ukupata rudi tena. Africa ni kenya magufuli aliwakumbusha juzi tu alipotembelea kenya.

unadhani viwanda mgongo utaomba Tanga upelekee DAR kupanda!!! tanzania ya viwanda mtaisubiri sana na mitazamo kama yako!!!! ujamaa hangovers !!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…