Nenda kapandwe na Kondoo huko Nyeri
Nenda kanywe supu ya Alb*** hukoo Sumbawanga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kapandwe na Kondoo huko Nyeri
Nataka ya mkikuyu nkimkamata huku inakua shereheNenda kanywe supu ya Alb*** hukoo Sumbawanga...
Sijaona mzungu yeyote hapa in any of these malls.. Soo wale watu wanasema zinajengewa wazungu sijui kama wamewai ingia ndani na kujuonea kwa macho..... Acheni wivukwelko hawa manguchi wanadhan tuko ligi moja !!
Westgate juzi tu imevaamiwa tayari isha openView attachment 423462View attachment 423463View attachment 423464
Mwenye wivu unamfata kwao kulialia?Sijaona mzungu yeyote hapa in any of these malls.. Soo wale watu wanasema zinajengewa wazungu sijui kama wamewai ingia ndani na kujuonea kwa macho..... Acheni wivu
Nenda kapandwe na Kondoo huko Nyeri
Hahahaha, mkuu kejof2 vile unapelekesha hizi nyang'au nimecheka hadi mhudumu wa grocery ameduwaa.
Pumbaf huku sio fb ama tweeter mnaposhindaga kupiga umbea wenu na sina haja ya kuwa mstaarabu kwa watu ambao kila siku hawatulii kwao kazi kulialia tu kwa majiraniWeye siku zote ustaarabu huna!....hii syo hulka ya mtanzania, huenda weye wale wa "kuletwa" ama hata mwanaharamu......kalb wahed!
Kama mnapiga hatua msingekua mnakaa wanaume wazima kuhangaika kwa majirani hadi inafikia hatua mkifukuzwa mnaanza kulialia muonewe hurumaKuipita kenya ndio wimbo mtaimba sana .acha kenya ipige hatua wavivu waendelee kulala .
hivi visababu vyenu bado havijaisha..umeangalia izo picha za wazungu na warabu hapo juu wakiwa garden city,galleria.the hub,capital center...nadhani samuel999 amewaonyesha.tafuteni visababu vingine..this is getting really old
yakaa ata hujielewi wewe.....hivi hujasikia kuhusu hiyo kibera upgrade inayoendelea..au hizo ghorofa zenye wakaazi wakibera walipewa majuzi zilikuwa zimejengwa baharini?alafu humake sense nahii reasoning yako..hiyo mikate huko kwa mamall iliekwa ili ioze uko ama inunuliwe?wafurahisha sana na kujiaibisha kabisa cz inakaa iq yako iko down kiasiNdugu yangu, Nairobi sio mbinguni, naitembelea sana, nenda down city center Nairobi let say nearby areas around National Archive, vijana mamia wanaranda randa na bahasha zao wakitafuata kazi, ukiwatizama sura zao zina njaa ... akienda mall hizi labda anaenda nunua mkate na show off. Let us be serious Nairobi has for a long time getting these western investment (haijaanza leo) which are mainly targeting wazungu and other foreigners living there. ninyi mnaopost picha humu kutwa nzima mnaendaga kununua mikate, kiwi, tooth paste au mswaki tu nakupigia picha. So no need kuwa proud off, siku mkisikia Kibera zinajengwa flats, njooni mjisifie humu nasi kwakweli tutawapigia makofi,...am out!!
yakaa ata hujielewi wewe.....hivi hujasikia kuhusu hiyo kibera upgrade inayoendelea..au hizo ghorofa zenye wakaazi wakibera walipewa majuzi zilikuwa zimejengwa baharini?alafu humake sense nahii reasoning yako..hiyo mikate huko kwa mamall iliekwa ili ioze uko ama inunuliwe?wafurahisha sana na kujiaibisha kabisa cz inakaa iq yako iko down kiasi
yani arguments nyingine ata hazina mashiko na mvutoNi Ushamba bwana.Achana nao...