Master J aliniambia sijui kuimba kwenye Bongo Star Search– Harmonize

hilo kundi kila mtu anamuiga diamond saut,sasa hiyo akili au matope
 
Kwa master j anayejua kuimba ni sarah kaisi....huko kwenye mashindano hawezi kuiona chochote wakati sugua gaga ipo kichwani....joking
Master Jay amesomea mambo ya music kwahyo hajakulupuka
 
Katika mtazamo wa mtaalamu wa muziki ni kweli mdogo wangu hujui kuimba.
Ila kwa mtazamo wetu sisi ambao tunaangalia mashairi na mdundo unajua sana.
Hii haibadilishi ukweli kuwa hujui kuimba.
 
Kifesi mfikishie salaam hizi harmonize toka JF nahis atalia na atawatungia watu wa umu nyimbo [emoji28][emoji28]
 
Hana tofauti na domo, wote ni wanenguaji na si waimbaji
 
hakuna anayemuonea wivu, hongera kwa mafanikio aliyofikia mpaka sasa, lakini ukweli unabaki palepake hajui kuimba... na sio mbunifu, anachofanya ni kucopy kwa boss wake.
Wanafanya biashara na boss wao kawaambia lazima wafatishe vile ye anaimba. siku domo akianguka hawa wote wanaingia mtaani kuuza vyupi.
 

dooooh kweli mziki umeingilia kwa hiyo Suleiman Mbwembwe aka masharubu na Hassani Rehan Bitchuka walikuwa wanaimba kwa kubana pua kama anavyoimba Harmonise?!
Acha kufananisha Barcelona na Mbao fc ya mwanza eti kisa zote ni timu za mpira wa miguu
Au wewe ndio bwana Sallam S.K?!
 
Master J hakoseagi akisema no , he means it, hajui kweli kuimba labda kucopy na kupaste hivo anajua
 
Tuwekee hiyo clip mkuu tuone alivokuwa akiimba
 
Mkuu, hisia zako hazijaguswa? Basi huenda ndio kwanza unabalehe/kuvunja ungo... Ngoja umri usogee sogee uanze kutendwa ndio nyimbo kama hii itakuingia vizuri...
kwa hiyo hizo nyimbo zake mpaka utendwe kama wewe ulivyotendwa na demu wako ndio zinakuwa tamu?!
 
Kupatwa kwa mahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…