Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,297
- 758
Mi simjui ila kuna muziki fulani clouds wanajaribu kuulazimisha upendwe ijapokuwa naona kama hauna thamani ya kuitwa muziki wao wanasema singeli.Kama ni wa dizaini hiyo ya kubebwa nadhani anatakiwa kufanya bidii zaidi.Nitafuatilia nione kama kweli anajua.anajua bwana acheni roho mbaya jamani..
angekua hajui asingehit.
alafu kwanini hamfurahii mafanikio ya wenzenu???
Umeongea ukweli. Kuna watu wana roho ya kwanini. Hata Master J. Ukimuuliza leo atakubali kuwa dogo Hivi sasa anajua. Hakujua kuimba miaka hiyo, lakini hivisasa anajua.anajua bwana acheni roho mbaya jamani..
angekua hajui asingehit.
alafu kwanini hamfurahii mafanikio ya wenzenu???
Unasimamia Ushahidi upi kusema hayo? Kama umempa hongera kwa mafanikio ni kwakuwa unajua kafanikiwa. Na amefanikiwa kwakuwa anajua anachofanya. Kabla hajajua kuimba hakufanikiwa, sasa amejua amefanikiwa. Ila wewe tu humpendi kwa sababu zako ndiyomaana unasema hajui. Dogo amejitahidi kujua, ameweza kujua.hakuna anayemuonea wivu, hongera kwa mafanikio aliyofikia mpaka sasa, lakini ukweli unabaki palepake hajui kuimba... na sio mbunifu, anachofanya ni kucopy kwa boss wake.
Hii ni chuki na wivu usio na maana yoyote. After all ni wachache mnaosema hivyo. Maelfu ya wanaojua muziki ni mashabiki wake.Hujui ndiyo, na bado hujui
Tena mwambie awe na heshima kwa hao wazee aliowataja...dooooh kweli mziki umeingilia kwa hiyo Suleiman Mbwembwe aka masharubu na Hassani Rehan Bitchuka walikuwa wanaimba kwa kubana pua kama anavyoimba Harmonise?!
Acha kufananisha Barcelona na Mbao fc ya mwanza eti kisa zote ni timu za mpira wa miguu
Au wewe ndio bwana Sallam S.K?!
Siyo kweli. Wewe jaribu kupunguza chuki na wivu kidogo, kisha sikiliza sauti ya huyu dogo. Dogo anastahili pongezi kwa juhudi zake. Diomond anajua biashara, anajua nini wapenzi wa muziki wanahitaji ndiyomaana dogo yupo paleHuyu wakuja mtupu kabisa, diamond kamchukua kibiashara ilienda wale wenye dau dogo anawapelekea huyo dogo wahangaike nae
Sidhani, dogo yupo vizuri hata kwenye kuhimili chuki za watu wachacheAkipitia hizi comments lazima anyong'onyee
Haa haa hii ni hatareeee .....[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Hivi ndio huyu anabakwa na lile kahaba la bongo movie?
Hivi mtazamo wa anayejua muziki ndiye nani?!! Kazi za sanaa ni bidhaa kama bidhaa nyingine. Kama mtu anatengeneza bidhaa inayokubalika sokoni na haina madhara, basi hiyo no bidhaa nzuri. Uzuri wa bidhaa unahusu Mambo mengi, kama vile ubora, unafuu wa bei,nk. Hivyo soko ndilo linasema Ipi ni bidhaa nzuri. Dogo anakubalika na Mashabikia, sasa huyo mtaalamu wa muziki ana nafasi gani hapa. Na hata hao anaowakubali yeye mbona wanahaha kupenya kwenye soko bila mafanikio. Master J ni mtaalam wa muziki aina ya HIP Hop siyo aina zote. Hivyo aina nyingine zote yeye si shabiki wake.Katika mtazamo wa mtaalamu wa muziki ni kweli mdogo wangu hujui kuimba.
Ila kwa mtazamo wetu sisi ambao tunaangalia mashairi na mdundo unajua sana.
Hii haibadilishi ukweli kuwa hujui kuimba.
Ngoja waje wenye mtu wao.Hana tofauti na domo, wote ni wanenguaji na si waimbaji
Mahaba yakizidi chongo linakua kengeza mkuu.dooooh kweli mziki umeingilia kwa hiyo Suleiman Mbwembwe aka masharubu na Hassani Rehan Bitchuka walikuwa wanaimba kwa kubana pua kama anavyoimba Harmonise?!
Acha kufananisha Barcelona na Mbao fc ya mwanza eti kisa zote ni timu za mpira wa miguu
Au wewe ndio bwana Sallam S.K?!
Ndo mana utuoni huko kama wao kwakua tumekubali kuwa hatuwezi. Lkn sio sababu ya waliopo huko kujifanya matawi wakati baaadoWatu wana roho za kwann sana 4sure wana wivu waajabu ebu Iga na ww kama ata mama ako ataisikilza tusiwe ivo bhana ebu isikilize matatizo Afu utajua
Sema kuliko King.Huyu dogo ana sauti kali huenda hata kuliko Diamond. Sauti yake nzuri na bahati ni kwamba kaingia kwenye kampuni inayosaka pesa kwahiyo atafika mbali. Tumuombee