Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi

Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi

Hawa wengine tunawajua wanakuwa na matakwa fulani, halafu wanasingizia Mungu kawaonesha.

Ukimtaka athibitishe huyo Mungu yupo, hawezi kuthibitisha, ataishia kukupa longolongo nyingi tu.
Kwani kila unachoshindwa kuthibitisha uwepo wake ndio hua hakipo?
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.



View: https://vm.tiktok.com/ZMrhfjSr3/

Urusi huo ni mtego muuepuke
 
Hawa sio ndio kama kina John na Paul waliandika miaka 70 kabla ya kuja Mtume Mohammad, na miaka 450 baada ya Yesu.

John aliandika kitabu kinachoitwa John tazama ( Anti-Christ ) kwenye kitabu chake.

Waarabu walitamani sana kujua mawazo hayo, ambapo John alidai nabii wao atarudi badala ya Yesu

Prophet Muhammad alikuja na akawa Mtume wa mwisho.

Kwa hivyo sasa walio yakusudia kuhusu dijjal ( Ant Christ) IlIonekana si kweli, na ili mkasirisha John, ambapo upande wa pili, Wayahudi walifurahi kwa sababu walipinga fikra hizo.

Wote warabu na wayahudi walimuuliza Mtume Muhammad kuhusu fikra hizo za John.

Mtume Muhammad alikuwa hajui chochote kuhusu mambo ya mbele isipokuwa kile ambacho Mwenyezi Mungu anamwambia.


Hakuna mahali popote katika Qur'an Mwenyezi Mungu alimtaja Dajjal (Anti Christ) Hiyo point ya John ilikuwa ni fikra ya kishetani tu.

Kama yule fake Muslim Bukhari na hadith zake kama kina Paulo na John ndio huyo alie dai kaonyeshwa na Mungu, eti Mrusi atampiga America, mbona hio inajulikana wazi lazima mmoja atamtandika mwenzake😄
Wewe mbona unaleta tena porojo za masjid ubwabwa ❓ Hicho kitabu cha John Tazama ndicho kitabu gani ❓
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.



View: https://vm.tiktok.com/ZMrhfjSr3/

Ana track record kama ya Baba Vanga au Nostradamus ?
Hao manguli wana rate kubwa sana ya utabiri wao kuwa sahihi , mfano huyo Baba Vanga mpaka aliyotabiri mwaka huu kuna ambayo yanatokea tayari
 
Kwani kila unachoshindwa kuthibitisha uwepo wake ndio hua hakipo?
Hapana,

Lakini, uthibitisho ndiyo njia pekee ya kuhakiki kitu kipo au hakipo.

Zaidi, pingamizi langu kwamba Mungu hayupo haliishii tu kwenye uthibitisho.

Dhana ya kuwepo Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya, inajipinga yenyewe, ina internal contradictions.

Kwa sababu, Mungu huyo kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Mungu huyo kuwapo na ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwapo ni vitu viwili vilivyo mutually exclusive, yani, kinaweza kuwepo kimoja ama kingine, haviwezi kuwapo viwili vyote.

Maana yake ni, ikiwa Mungu huyo yupo, basi ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwepo haupo.

Na, ikiwa ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, Mungu huyo hayupo.

Tunaona ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Inawezekana kama Osama jeshi la mtu mmoja liliweza kupiga USA , nchi za NATO zimelemazwa na demokrasia na huku nchi zao zinateketea umakini wao kwenye kuzuia adui ni mdogo sana ukilinganisha na Rusia,na China. Israel taifa makini na wao wameanza kulala kama mataifa ya NATO
 
Back
Top Bottom